Matukio
Kikao cha 12 cha Bodi ya Wakurugenzi
9
Bodi ya Wakurugenzi katika kikao chake cha robo ya tatu ya mwaka 2023/2024 ili kupitia na kujadili taarifa ya utekelezaji iliyowasilishwa na Menejimenti imetoa maelekezo mahsusi ikiwemo usimamizi wa mradi wa ujenzi wa Kongani la Viwanda vya kubangua korosho kijiji cha Maranje Mkoa wa Mtwara.
Bodi imeelekeza menejimenti kusimamia mradi…
KIKAO CHA TATHMINI YA UZALISHAJI, MASOKO NA UBANGUAJI WA KOROSHO MSIMU WA 2023/2024
KIKAO CHA TATHMINI YA UZALISHAJI, MASOKO NA UBANGUAJI WA KOROSHO MSIMU WA...
47
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) ameongoza Mkutano wa Tathmini ya Uzalishaji, Ubanguaji na Masoko ya zao la Korosho...
WAKULIMA WA KOROSHO KUENDELEA KUNEEMEKA NA PEMBEJEO ZA RUZUKU YA SERIKALI.
WAKULIMA WA KOROSHO KUENDELEA KUNEEMEKA NA PEMBEJEO ZA RUZUKU YA SERIKALI.
41
Wakulima wa Korosho nchini wataendelea kunufaika na pembejeo za ruzuku ya serikali kwaajili ya kuwakwamua na kuwaendeleza kiuchumi, hayo yamesemwa...
BODI YA KOROSHO NA MWENDELEZO WA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA WA KOROSHO NCHINI
BODI YA KOROSHO NA MWENDELEZO WA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA...
341
Maafisa wa Bodi ya korosho Tanzania wakiwa katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Tunduru mbele ya Katibu Tawala wa...
ELIMU YA MAZINGIRA NA HEWA YA UKAA KWA BODI YA WAKURUGENZI
ELIMU YA MAZINGIRA NA HEWA YA UKAA KWA BODI YA WAKURUGENZI
422
RUZIKA N. MUHETO mtaalam wa mazingira na hewa ya ukaa akiwasilisha mada yenye kuelezea umuhimu wa zao la Korosho katika...
TAARIFA FUPI YA MINADA YA KOROSHO ILIYOFANYIKA TAREHE 20 OKTOBA. 2023 A.TANECU LTD KATIKA UKUMBI WA TANDAHIMBA DC
TAARIFA FUPI YA MINADA YA KOROSHO ILIYOFANYIKA TAREHE 20 OKTOBA. 2023 A.TANECU...
512
Korosho iliyoletwa kwa Mnada – kilo 7,752,741 Ubora wa Korosho inayoletwa kwa Mnada SOT 52-52.6(Daraja la Kawaida) Mahitaji ya Korosho...
TAARIFA FUPI YA MINADA YA KOROSHO ILIYOFANYIKA TAREHE 21 OKTOBA, 2023 CHINI YA LINDI MWAMBAO KATIKA KITUMIKI AMCOS-LINDI MC.
TAARIFA FUPI YA MINADA YA KOROSHO ILIYOFANYIKA TAREHE 21 OKTOBA, 2023 CHINI...
518
Korosho iliyoletwa kwa Mnada – 1,889,047kg Ubora wa Korosho inayoletwa kwa Mnada SOT 49.3-50.4(Daraja la Kawaida- 1,889,047kg) Mahitaji ya Korosho...
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Bw. Francis Alfred, akizungumza na Wakulima wakati wa ufunguzi wa mnada wa kwanza wa ununuzi wa Korosho Msimu 2023/2024 katika Kijiji cha Mburusa Wilaya ya Nanyumbu Mkoani Mtwara Octoba 20,2023
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Bw. Francis Alfred, akizungumza na...
472
Kuhusu bei hiyo kuendelea kushuka ikilinganishwa na Msimu uliopita, Francis amesema CBT kama msimamizi mkuu wa Tasnia wanaendelea kushughulikia mwenendo...
Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango amefungua Mkutano wa Kimataifa wa Korosho wa siku tatu hapa nchini
Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango amefungua Mkutano wa Kimataifa wa Korosho...
367
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amefungua Mkutano wa Kimataifa wa Korosho 2023 leo tarehe 11 Oktoba 2023...
MIKOA YA KILIMO CHA KOROSHO KUONGEZEKA KUTOKA 5 HADI 18 NCHINI- Naibu Waziri Silinde
MIKOA YA KILIMO CHA KOROSHO KUONGEZEKA KUTOKA 5 HADI 18 NCHINI- Naibu...
326
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Ernest Silinde (Mb), amesema kilimo cha korosho sasa kitalimwa katika maeneo ya mikoa mingine...