KIKAO CHA TATHMINI YA UZALISHAJI, MASOKO NA UBANGUAJI WA KOROSHO MSIMU WA 2023/2024
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) ameongoza Mkutano wa Tathmini ya Uzalishaji, Ubanguaji na Masoko ya zao la Korosho kwa msimu wa Mwaka 2023/2024 na kujipanga kwa msimu wa Mwaka 2024/2025 katika Ukumbi wa PSSSF, jijini Dodoma tarehe 22 Aprili 2024.
“Lazima tubadilike na tubadilishe maeneo ya kimfumo ili…
WAKULIMA WA KOROSHO KUENDELEA KUNEEMEKA NA PEMBEJEO ZA RUZUKU YA SERIKALI.
WAKULIMA WA KOROSHO KUENDELEA KUNEEMEKA NA PEMBEJEO ZA RUZUKU YA SERIKALI.
Wakulima wa Korosho nchini wataendelea kunufaika na pembejeo za ruzuku ya serikali kwaajili ya kuwakwamua na kuwaendeleza kiuchumi, hayo yamesemwa...
Bodi ya Korosho yawaonya wafanyabiashara wanaozitorosha Korosho nje ya nchi
Bodi ya Korosho yawaonya wafanyabiashara wanaozitorosha Korosho nje ya nchi
Bodi ya Korosho Tanzania imewaonya baadhi ya wanunuzi wa zao la Korosho wanaonunua baada ya msimu kufungwa na kutaka kuzitorosha...
BODI YA KOROSHO NA MWENDELEZO WA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA WA KOROSHO NCHINI
BODI YA KOROSHO NA MWENDELEZO WA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA...
Maafisa wa Bodi ya korosho Tanzania wakiwa katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Tunduru mbele ya Katibu Tawala wa...
ELIMU YA MAZINGIRA NA HEWA YA UKAA KWA BODI YA WAKURUGENZI
ELIMU YA MAZINGIRA NA HEWA YA UKAA KWA BODI YA WAKURUGENZI
RUZIKA N. MUHETO mtaalam wa mazingira na hewa ya ukaa akiwasilisha mada yenye kuelezea umuhimu wa zao la Korosho katika...
TAARIFA FUPI YA MINADA YA KOROSHO ILIYOFANYIKA TAREHE 20 OKTOBA. 2023 A.TANECU LTD KATIKA UKUMBI WA TANDAHIMBA DC
TAARIFA FUPI YA MINADA YA KOROSHO ILIYOFANYIKA TAREHE 20 OKTOBA. 2023 A.TANECU...
Korosho iliyoletwa kwa Mnada – kilo 7,752,741 Ubora wa Korosho inayoletwa kwa Mnada SOT 52-52.6(Daraja la Kawaida) Mahitaji ya Korosho...