BODI YA WAKURUGENZI WA BODI YA KOROSHO TANZANIA YAKUTANA NA MENEJIMENTI KATIKA KIKAO CHAKE CHA KWANZA
Bodi ya wakurugenzi wa Bodi ya Korosho Tanzania iliyoteuliwa hivi karibuni ikiongozwa na Mwenyekiti Brig. Gen. (Mstaafu) Aloyce D. Mwanjile ndc imefanya kikao chake cha kwanza Machi 18, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Bodi ya Korosho Tanzania uliopo Mtwara Mjini ili kujadili masuala mbalimbali yahusuyo Tasnia ya Korosho.
Katika…
RC LINDI AZINDUA UGAWAJI PIKIPIKI NA VISHIKWAMBI KWA MAAFISA KILIMO WA BBT-KOROSHO
RC LINDI AZINDUA UGAWAJI PIKIPIKI NA VISHIKWAMBI KWA MAAFISA KILIMO WA BBT-KOROSHO
Mkuu wa mkoa wa Lindi Mhe. Zainabu Telack amezindua ugawaji wa vitendea kazi ambavyo ni pikipiki 152 na vishikwambi 152...
UHUISHAJI TAARIFA ZA WAKULIMA WA KOROSHO WAENDELEA KWA UFANISI MKUBWA MSIMU WA 2024/2025
UHUISHAJI TAARIFA ZA WAKULIMA WA KOROSHO WAENDELEA KWA UFANISI MKUBWA MSIMU WA...
Zoezi la uhuishaji wa taarifa za wakulima wa zao la korosho linaendelea kwa mafanikio makubwa katika ofisi za vijiji yalipo...
MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA AMEZINDUA UGAWAJI PIKIPIKI NA VISHIKWAMBI KWA MAAFISA KILIMO WA BBT-KOROSHO
MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA AMEZINDUA UGAWAJI PIKIPIKI NA VISHIKWAMBI KWA MAAFISA...
Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe. Kanali Michael Mtenjele, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick...
MELI YA KWANZA KATI YA NNE ZINAZOTARAJIA KUBEBA TANI 40,000 ZA PEMBEJEO ZA ZAO LA KOROSHO YAWASILI BANDARI YA MTWARA
MELI YA KWANZA KATI YA NNE ZINAZOTARAJIA KUBEBA TANI 40,000 ZA PEMBEJEO...
Meli iliyobeba zaidi ya tani 9202 kati ya tani zaidi ya 40,000 za salfa zinazotarajiwa kuwafikia wakulima wa korosho katika...
WAKULIMA WA KOROSHO WAKUMBUSHWA KUHUISHA TAARIFA ZA MASHAMBA YAO.
WAKULIMA WA KOROSHO WAKUMBUSHWA KUHUISHA TAARIFA ZA MASHAMBA YAO.
Katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani machi 8, 2025 wakulima wa zao la korosho wamekumbushwa kwenda kuhuisha taarifa za mashamba...
UBALOZI WA TANZANIA-UAE, CBT WAPANGA MIKAKATI KULITUMIA SOKO LA KOROSHO NCHI ZA GHUBA KUPITIA UAE
UBALOZI WA TANZANIA-UAE, CBT WAPANGA MIKAKATI KULITUMIA SOKO LA KOROSHO NCHI ZA...
Ubalozi wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kushirikiana na Bodi ya Korosho Tanzania wamepanga mikakati ya...
WIZARA YA KILIMO YAKARIBISHA WAWEKEZAJI KONGANI LA VIWANDA MARANJE-MTWARA
WIZARA YA KILIMO YAKARIBISHA WAWEKEZAJI KONGANI LA VIWANDA MARANJE-MTWARA
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Dkt. Hussein Mohamed Omari ameitaka Bodi ya KoroshoTanzania kukaribisha wawekezaji katika kongani la...
NAIBU WAZIRI SILINDE AZINDUA MIRADI KATIKA SEKTA YA KILIMO
NAIBU WAZIRI SILINDE AZINDUA MIRADI KATIKA SEKTA YA KILIMO
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) amezindua Miradi itakayosaidia kuleta zaidi mageuzi katika Sekta ya Kilimo, inayofahamika kama...
MAAFISA KILIMO WA BBT KOROSHO WAENDELEA NA MAFUNZO YA VITENDO
MAAFISA KILIMO WA BBT KOROSHO WAENDELEA NA MAFUNZO YA VITENDO
Maafisa Ugani Kilimo walioajiriwa na Bodi ya Korosho Tanzania kupitia program ya BBT Korosho waliopo Mtwara – Makao Makuu ikiwa...