TARI WAJIANDAA KUPOKEA MEDALI KOROSHO MARATHON
Ni Wafanyakazi wa Taasisi ya utafiti wa kilimo Tanzania (TARI) kituo cha Naliendele wakiwa katika picha ya pamoja oktoba 22/2024 mara baada ya kupata jezi na vifaa vingine tayari kwa ajili ya Korosho Marathon huku wakiwa wamejipanga kupokea medali katika mashindano hayo.
Unaweza kupata vifaa hivyo katika eneo la Bima…
MKURUGENZI MKUU CBT: SOKO LA KOROSHO LIKO VIZURI
MKURUGENZI MKUU CBT: SOKO LA KOROSHO LIKO VIZURI
Mkurugenzi mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania CBT) Ndg. Francis Alfred amesema kuwa hali ya soko la korosho ndani na...
TANECU WAUZA KOROSHO KWA BEI YA JUU TSH. 3760/= NA BEI YA CHINI TSH.3540/=, UBORA WASISITIZWA.
TANECU WAUZA KOROSHO KWA BEI YA JUU TSH. 3760/= NA BEI YA...
Katika kuhakikisha wakulima wa zao la korosho wanazidi kunufaika na kilimo chao kupitia minada inayoendelea, bodi ya korosho Tanzania imewataka...
BODI YA KOROSHO TANZANIA (CBT) YAWATAKA WAKULIMA KUENDELEA KUDUMISHA UBORA WA KOROSHO.
BODI YA KOROSHO TANZANIA (CBT) YAWATAKA WAKULIMA KUENDELEA KUDUMISHA UBORA WA KOROSHO.
Wakati minada ya korosho ikiwa inaendelea mkurugenzi wa bodi ya korosho Tanzania ndg Francis Alfred Alfred amewataka wakulima wa korosho...
BEI YA JUU YA KOROSHO YALETA SHANGWE KWA WAKULIMA KATIKA MNADA WA KWANZA MKOANI MTWARA
BEI YA JUU YA KOROSHO YALETA SHANGWE KWA WAKULIMA KATIKA MNADA WA...
Mkurugenzi mkuu wa bodi ya korosho Tanzania ndg Fransis Alfred amesema kuwa bodi ya korosho kwa kushirikiana na vyama vya...
MKULIMA WA KOROSHO KULIPWA SIKU 7 BAADA YA MNADA
MKULIMA WA KOROSHO KULIPWA SIKU 7 BAADA YA MNADA
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndg. Francis Alfred ametoa ufafanuzi juu ya malipo ya wakulima wa Korosho nchini...
SERIKALI KUENDELEA KUTOA RUZUKU ZA PEMBEJEO BUREE KWA WAKULIMA WA KOROSHO
SERIKALI KUENDELEA KUTOA RUZUKU ZA PEMBEJEO BUREE KWA WAKULIMA WA KOROSHO
Waziri wa kilimo Mhe. Hussein Bashe amesema kuwa serikali itaendelea kutoa ruzuku za pembejeo kwa wakulima wa korosho nchini buree....
SERIKALI YAJIPANGA KUMUINUA KIUCHUMI MKULIMA WA KOROSHO
SERIKALI YAJIPANGA KUMUINUA KIUCHUMI MKULIMA WA KOROSHO
Serikali ya jamhuri ya Muunganio wa Tanzania inayoongozwa na Dkt Samia Suluhu Hassan imejipanga kumuinua kiuchumi mkulima wa korosho nchini....
MKUTANO MKUU WA WADAU WA TASNIA YA KOROSHO 2024
MKUTANO MKUU WA WADAU WA TASNIA YA KOROSHO 2024
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amefungua Mkutano Mkuu wa Wadau wa Tasnia ya Korosho 2024 leo tarehe 22...
FURSA ZA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA
FURSA ZA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA
Bodi ya Korosho Tanzania (Bodi) ni taasisi ya Umma iliyopewa jukumu la kudhibitina kusimamia tasnia ya korosho nchini kuanzia uzalishaji,...