MAFUNZO YA UHUISHAJI NA USAJILI WA WAKULIMA WA KOROSHO
Bodi ya korosho Tanzania kwa kushirikiana na Mamlaka ya serikali za Mtaa imefanya mafunzo ya matumizi ya vifaa vya kielektroniki tarehe 10 Januari 2023 kwaajili ya uhuishaji na usajili wa kanzidata ya wakulima wa korosho kwa awamu ya kwanza katika Halmashauri mbili za Mkoa wa Mtwara.
Mafunzo haya yametolewa kwa…
KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUGENZI ROBO YA TATU YA MWAKA
KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUGENZI ROBO YA TATU YA MWAKA
Bodi ya Korosho Tanzania imeendelea na vikao vyake vya kisheria vya Bodi ya Wakurugenzi kwa kipindi cha robo ya tatu...
ZOEZI LA UHUISHAJI NA USAJILI WA KANZIDATA YA WAKULIMA LAZINDULIWA RASMI
ZOEZI LA UHUISHAJI NA USAJILI WA KANZIDATA YA WAKULIMA LAZINDULIWA RASMI
Katika kuhakikisha Serikali inafikia lengo la kuongeza uzalishaji wa korosho ghafi nchini kufikia tani 700,000 ifikapo mwaka 2025/2026. Ili kufikia...
BODI YA KOROSHO TANZANIA YAENDELEA NA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA
BODI YA KOROSHO TANZANIA YAENDELEA NA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA
KILA MKULIMA WA KOROSHO ATAPASWA KUHAKIKISHA KUWA ANASAJILIWA. MKULIMA AMBAYE HATASAJILIWA HATOPATIWA PEMBEJEO KATIKA MSIMU UJAO.Mara baada ya usajili mfumo...
KIKAO CHA KAMATI YA UENDELEZAJI ZAO YA BODI YA KOROSHO TANZANIA
KIKAO CHA KAMATI YA UENDELEZAJI ZAO YA BODI YA KOROSHO TANZANIA
KIKAO CHA SABA (7) CHA KAMATI YA UENDELEZAJI ZAO YA BODI YA KOROSHO TANZANIA TAREHE 02 JANUARI, 2023 UKUMBI WA...
TANZANIA YAPATA SOKO JIPYA LA KOROSHO BARANI ULAYA
TANZANIA YAPATA SOKO JIPYA LA KOROSHO BARANI ULAYA
Bodi ya korosho Tanzania kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo imeendelea na juhudi za kuhakikisha wakulima wanafaidika na za zao...
MATUMINZI YA SERIKALI MTANDAO KATIKA UTUNZAJI NYARAKA
MATUMINZI YA SERIKALI MTANDAO KATIKA UTUNZAJI NYARAKA
Ndg.Joseph M Ndaro pamoja na Ally Ally kutoka Idara ya kumbukumbu na Nyaraka za Taifa wametoa mafunzo ya matumizi ya...
KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA BODI YA KOROSHO TANZANIA
KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA BODI YA KOROSHO TANZANIA
Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi la Bodi ya Korosho Ndg.Francis Alfred ambae pia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya...
ELIMU YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA UKIMWI KWA WAFANYAKZI WA BODI YA KOROSHO
ELIMU YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA UKIMWI KWA WAFANYAKZI WA BODI YA...
Elimu ya kujikinga na kupambana na virusi vya ukimwi (HIV) kazini yakitolewa na Dr Mbelenje katika ukumbi wa Bandari Mtwara...
BODI YA KOROSHO YAPEWA ELIMU YA RUSHWA
BODI YA KOROSHO YAPEWA ELIMU YA RUSHWA
Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Mtwara Ndugu. Enock Ngailo akitoa Elimu ya masuala ya rushwa kwa watumishi wa Bodi ya...