Skip to main content
SERIKALI YALETA NEEMA KWA WAKULIMA WA KOROSHO
HABARI

SERIKALI YALETA NEEMA KWA WAKULIMA WA KOROSHO

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) amefanya ziara ya kikazi mkoani Mtwara tarehe 11 Desemba 2025 na...

TPAWU TAWI LA BODI YA KOROSHO TANZANIA WACHAGUA VIONGOZI WAPYA
HABARI

TPAWU TAWI LA BODI YA KOROSHO TANZANIA WACHAGUA VIONGOZI WAPYA

Wanachama wa chama cha wafanyakazi wa sekta ya Kilimo na Mashamba TANZANIA PLANTATION AND AGRICULTURAL WORKERS UNION (TPAWU)...

BALOZI AVETISYAN ATEMBELEA BODI YA KOROSHO, KONGANI LA VIWANDA MARANJE
HABARI

BALOZI AVETISYAN ATEMBELEA BODI YA KOROSHO, KONGANI LA VIWANDA MARANJE

Balozi wa Urusi nchini Tanzania Mhe. Andrey Avetisyan ametembelea Ofisi za Bodi ya Korosho Tanzania pamoja na eneo...

MKURUGENZI MKUU CBT ATOA UFAFANUZI KUHUSIANA NA MCHANGO WA ZAO...
HABARI

MKURUGENZI MKUU CBT ATOA UFAFANUZI KUHUSIANA NA MCHANGO WA ZAO...

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania ndg. Francis Alfred amesema kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa...

KANALI SAWALA: MAFUNZO YA UMAHIRI KWENYE MNYORORO WA THAMANI WA...
HABARI

KANALI SAWALA: MAFUNZO YA UMAHIRI KWENYE MNYORORO WA THAMANI WA...

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala amesema kuwa ni matumaini yake kuwa mafunzo ya Umahiri Kwenye...

MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA WATEMBELEA MRADI WA KONGANI...
HABARI

MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA WATEMBELEA MRADI WA KONGANI...

Madiwani wa Halmashauri ya mji Nanyamba wameeleza kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi wa Kongani la viwanda...

Picha ya jengo la taasisi
Bodi ya Korosho

Kuhusu Bodi ya Korosho Tanzania

Bodi ya korosho Tanzania ni Taasisi ya Umma iliyo chini ya Wizara ya Kilimo iliyoundwa chini ya sheria ya Tasnia ya korosho Sura ya 203 Toleo la Mwaka 2023, inayoipa jukumu la usimamizi wa Tasnia ya korosho kwenye mnyororo mzima wa thamani kuanzia kwa mkulima hadi kwa mlaji wa mwisho.

Huduma Kuu za Taasisi

Huduma rasmi zinazotolewa kwa wananchi, wadau na washirika wa maendeleo.

Habari Zinazojiri

Pata taarifa rasmi, matukio na matangazo muhimu kutoka taasisi.

Soma Zaidi