Author : Peter Luambano
MAFUNZO YA UHUISHAJI NA USAJILI WA WAKULIMA WA KOROSHO
Bodi ya korosho Tanzania kwa kushirikiana na Mamlaka ya serikali za Mtaa imefanya mafunzo ya matumizi ya vifaa vya kielektroniki tarehe 10 Januari 2023 kwaajili...
KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUGENZI ROBO YA TATU YA MWAKA
Bodi ya Korosho Tanzania imeendelea na vikao vyake vya kisheria vya Bodi ya Wakurugenzi kwa kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa serikali, kikao...
ZOEZI LA UHUISHAJI NA USAJILI WA KANZIDATA YA WAKULIMA LAZINDULIWA RASMI
Katika kuhakikisha Serikali inafikia lengo la kuongeza uzalishaji wa korosho ghafi nchini kufikia tani 700,000 ifikapo mwaka 2025/2026. Ili kufikia lengo hilo Serikali haina budi...
BODI YA KOROSHO TANZANIA YAENDELEA NA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA
KILA MKULIMA WA KOROSHO ATAPASWA KUHAKIKISHA KUWA ANASAJILIWA. MKULIMA AMBAYE HATASAJILIWA HATOPATIWA PEMBEJEO KATIKA MSIMU UJAO.Mara baada ya usajili mfumo utatoa namba maalumu (unique number)...
KIKAO CHA KAMATI YA UENDELEZAJI ZAO YA BODI YA KOROSHO TANZANIA
KIKAO CHA SABA (7) CHA KAMATI YA UENDELEZAJI ZAO YA BODI YA KOROSHO TANZANIA TAREHE 02 JANUARI, 2023 UKUMBI WA MIKUTANO WA BODI YA KOROSHO...
TANZANIA YAPATA SOKO JIPYA LA KOROSHO BARANI ULAYA
Bodi ya korosho Tanzania kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo imeendelea na juhudi za kuhakikisha wakulima wanafaidika na za zao hili katika maeneo yao hususani...
MATUMINZI YA SERIKALI MTANDAO KATIKA UTUNZAJI NYARAKA
Ndg.Joseph M Ndaro pamoja na Ally Ally kutoka Idara ya kumbukumbu na Nyaraka za Taifa wametoa mafunzo ya matumizi ya mfumo wa kielektroniki Bodi ya...
KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA BODI YA KOROSHO TANZANIA
Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi la Bodi ya Korosho Ndg.Francis Alfred ambae pia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania akiongoza kikao cha...