Aprili 15, 2026 01:13
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Bw. Francis Alfred, akizungumza na Wakulima wakati wa ufunguzi wa mnada wa kwanza wa ununuzi wa Korosho Msimu 2023/2024 katika Kijiji cha Mburusa Wilaya ya Nanyumbu Mkoani Mtwara Octoba 20,2023

Kuhusu bei hiyo kuendelea kushuka ikilinganishwa na Msimu uliopita, Francis amesema CBT kama msimamizi mkuu wa Tasnia wanaendelea kushughulikia mwenendo huo ikiwa ni pamoja na kufuatilia kwa ukaribu hali halisi ya soko lilivyo kimataifa.

“Niwashukuru wakulima kwa kufikia uamuzi wa kuuza Korosho zao, kwa sababu kiuhalisia bei waliyouza ndivyo hali ya soko ilivyo katika soko la kimataifa, hali ya soko katika dunia ndiyo inatafsiri hali ya soko katika nchi yetu” amesisitiza Alfred.

Related posts

TANGAZO KWA WADAU WOTE WA TASNIA YA KOROSHO NCHINI. NOV 11-2024

Amani Ngoleligwe

KOROSHO MARATHON YAFIKA KILELENI KWA SHANGWE

Amani Ngoleligwe

TARI WAJIANDAA KUPOKEA MEDALI KOROSHO MARATHON

Amani Ngoleligwe