Aprili 29, 2024 07:16
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Bw. Francis Alfred, akizungumza na Wakulima wakati wa ufunguzi wa mnada wa kwanza wa ununuzi wa Korosho Msimu 2023/2024 katika Kijiji cha Mburusa Wilaya ya Nanyumbu Mkoani Mtwara Octoba 20,2023

Kuhusu bei hiyo kuendelea kushuka ikilinganishwa na Msimu uliopita, Francis amesema CBT kama msimamizi mkuu wa Tasnia wanaendelea kushughulikia mwenendo huo ikiwa ni pamoja na kufuatilia kwa ukaribu hali halisi ya soko lilivyo kimataifa.

“Niwashukuru wakulima kwa kufikia uamuzi wa kuuza Korosho zao, kwa sababu kiuhalisia bei waliyouza ndivyo hali ya soko ilivyo katika soko la kimataifa, hali ya soko katika dunia ndiyo inatafsiri hali ya soko katika nchi yetu” amesisitiza Alfred.

Related posts

MKUU WA MKOA WA MTWARA KANALI AHMED ABBAS AHMED AZINDUA RASMI KOROSHO MARATHON MSIMU WA PILI 2023

Peter Luambano

TARATIBU ZA UNUNUZI NA USAFIRISHAJI WA KOROSHO ZILIZOBANGULIWA(KERNELS) KUTOKA KWENYE VIKUNDI VYA WABANGUAJI NA WAKULIMA NDANI YA NCHI

Peter Luambano

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndg. Francis Alfred Pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI)-Naliendele Dkt Fortunus Kapinga wamepokea ujumbe wa wageni kutoka Nchini Benin leo tarehe 3 Octoba 2022.

Peter Luambano