Febuari 9, 2026 01:58
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

ELIMU YA MAZINGIRA NA HEWA YA UKAA KWA BODI YA WAKURUGENZI

RUZIKA N. MUHETO mtaalam wa  mazingira na hewa ya ukaa akiwasilisha mada yenye kuelezea umuhimu wa zao la Korosho katika utunzaji mazingira lakini pia ni namna gani zao hili lilivyo muhimu katika kukuza uchumi wa Nchi kotokana na uwezo wa kutoa hewa ya ukaa kwa wingi ambayo ni biashara mpya kwa sasa itakayowafanya wakulima wa zao hili kunufaika mbali na uzalishaji wa Korosho.

Ruzika amewasilisha mada hii leo tarehe 14 Novemba mbele ya Bodi ya Wakuruegnzi na Menejimenti ya Bodi ya Korosho Tanzania katika ukumbi wa mikutano wa Bodi ya Korosho-Mtwara.

Related posts

TANGAZO LA MAFUNZO YA UDHIBITI UBORA WA KOROSHO GHAFI MSIMU 2025/2026 KWA WADAU WA TASNIA YA KOROSHO NCHINI.

Amani Ngoleligwe

TAARIFA FUPI YA MINADA YA KOROSHO ILIYOFANYIKA TAREHE 21 OKTOBA, 2023 CHINI YA LINDI MWAMBAO KATIKA KITUMIKI AMCOS-LINDI MC.

Peter Luambano

KIKAO CHA KAMATI YA UENDELEZAJI ZAO YA BODI YA KOROSHO TANZANIA

Peter Luambano