Julai 16, 2025 12:31
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

ELIMU YA MAZINGIRA NA HEWA YA UKAA KWA BODI YA WAKURUGENZI

RUZIKA N. MUHETO mtaalam wa  mazingira na hewa ya ukaa akiwasilisha mada yenye kuelezea umuhimu wa zao la Korosho katika utunzaji mazingira lakini pia ni namna gani zao hili lilivyo muhimu katika kukuza uchumi wa Nchi kotokana na uwezo wa kutoa hewa ya ukaa kwa wingi ambayo ni biashara mpya kwa sasa itakayowafanya wakulima wa zao hili kunufaika mbali na uzalishaji wa Korosho.

Ruzika amewasilisha mada hii leo tarehe 14 Novemba mbele ya Bodi ya Wakuruegnzi na Menejimenti ya Bodi ya Korosho Tanzania katika ukumbi wa mikutano wa Bodi ya Korosho-Mtwara.

Related posts

MKUU WA MKOA WA MTWARA AZINDUA MINADA YA KOROSHO KWA MSIMU WA 2022/2023 LEO TAREHE 21 OKTOBA KWA VYAMA VIKUU VIWILI TANECU NA MAMCU MKOANI MTWARA.

Peter Luambano

MATUMINZI YA SERIKALI MTANDAO KATIKA UTUNZAJI NYARAKA

Peter Luambano

BODI YA KOROSHO TANZANIA YAENDELEA NA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA

Peter Luambano