Aprili 19, 2025 11:34
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

ELIMU YA MAZINGIRA NA HEWA YA UKAA KWA BODI YA WAKURUGENZI

RUZIKA N. MUHETO mtaalam wa  mazingira na hewa ya ukaa akiwasilisha mada yenye kuelezea umuhimu wa zao la Korosho katika utunzaji mazingira lakini pia ni namna gani zao hili lilivyo muhimu katika kukuza uchumi wa Nchi kotokana na uwezo wa kutoa hewa ya ukaa kwa wingi ambayo ni biashara mpya kwa sasa itakayowafanya wakulima wa zao hili kunufaika mbali na uzalishaji wa Korosho.

Ruzika amewasilisha mada hii leo tarehe 14 Novemba mbele ya Bodi ya Wakuruegnzi na Menejimenti ya Bodi ya Korosho Tanzania katika ukumbi wa mikutano wa Bodi ya Korosho-Mtwara.

Related posts

BODI YA KOROSHO NA MWENDELEZO WA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA WA KOROSHO NCHINI

Peter Luambano

WAAGIZAJI WA PEMBEJEO WAONYWA KUFANYA UDANGANYIFU

Peter Luambano

KIKAO CHA SITA CHA BODI YA WAKURUGENZI WA BODI YA KOROSHO TANZANIA

Peter Luambano