Aprili 19, 2024 08:30
Bodi ya Korosho Tanzania

Category : Matukio

Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Bw. Francis Alfred, akizungumza na Wakulima wakati wa ufunguzi wa mnada wa kwanza wa ununuzi wa Korosho Msimu 2023/2024 katika Kijiji cha Mburusa Wilaya ya Nanyumbu Mkoani Mtwara Octoba 20,2023

Peter Luambano
Kuhusu bei hiyo kuendelea kushuka ikilinganishwa na Msimu uliopita, Francis amesema CBT kama msimamizi mkuu wa Tasnia wanaendelea kushughulikia mwenendo huo ikiwa ni pamoja na...