Ni katika mwendelezo wa matumizi ya teknolojia katika Sekta ya Kilimo,Bodi ya Korosho Tanzania imeendelea na utoaji mafunzo kwa viongozi wa AMCOS zote chini ya...
Bodi ya korosho imekabidhi vifaa vya michezo ikiwemo Mipira,Viatu na Sare kwa timu ya mpira ya KOROSHO QUEENS siku ya tarehe 11/05/2023 katika ukumbi wa...
Akizungumza katika kikao cha tathmini ya uzalishaji, ubanguaji na masoko ya Korosho kwa msimu wa 2022/2023 kilichofanyika ukumbi wa PSSSF Jijini Dodoma, 24 April 2023,...
Timu ya watalaam wa TEHAMA kutoka BIZY TECH kwa kushirikiana na Bodi ya Korosho ikiongozwa na mjumbe wa kamati ya Pembejeo Ndug. Andambike Mwakilema imefanya...
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndg.Reuben Putaputa amekabidhi Jezi za Mpira wa Miguu pamoja na Mipira kwa Jeshi la Zimamoto Tanzania Mkoani...
Bodi ya Korosho (CBT) na kituo cha Utafiti wa Kilimo Tanzania-Naliendele (TARI) wamekutana na kufanya kikao cha pamoja katika ukumbi wa mikutano wa Bodi ya...
Kikao cha kujadili taarifa ya kitafiti ya kushuka kwa uzalishaji kilichojumuisha watafiti kutoka TARI Naliendele, Wataalamu wa kilimo CBT, wataalamu kutoka Mamlaka ya uthibiti wa...
Wanafunzi wa Chuo cha Mafunzo ya Kilimo Mtwara wakiwa katika ziara ya masomo ya nadharia Bodi ya Korosho Tanzania,lengo la ziara hiyo ni kujifunza namna...
Bodi ya korosho Tanzania kwa kushirikiana na Mamlaka ya serikali za Mtaa imefanya mafunzo ya matumizi ya vifaa vya kielektroniki tarehe 10 Januari 2023 kwaajili...