Machi 26, 2025 07:37
Bodi ya Korosho Tanzania

KUHUSU BODI YA KOROSHO TANZANIA

Fesam

Bodi ya korosho Tanzania ni Taasisi ya Umma iliyoko chini ya Wizara ya Kilimo iliyoundwa chini ya sheria ya Tasnia ya korosho Namba 18 ya mwaka 2009 (sura ya 203 ya sheria ya Tanzania) na kanuni zake za mwaka 2010 inayoipa jukumu la usimamizi wa Tasnia ya korosho kwenye mnyororo mzima kuanzia kwa mkulima hadi kwa mlaji wa mwisho.

Maono

Kuwa taasisi shindani, mahiri na endelevu katika usimamizi wa Tasnia ya korosho.

Dhima

Kuendeleza,kusimamia na kudhibiti masuala yote yanayohusiana na Tasnia ya korosho kwa ufanisi na kwa  kutenda haki.

This is custom heading element

Maadili na Msingi

1.Kumjali mteja

2.Uadilifu katika utoaji huduma

3.Kutokuwa na upendeleo wa aina yoyote

4.Uwajibikaji wa hali ya juu

5.Kutoa huduma kwa uwazi