Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) amezindua Miradi itakayosaidia kuleta zaidi mageuzi katika Sekta ya Kilimo, inayofahamika kama SAGCOT: Support to SAGGOT Centre...
Maafisa Ugani Kilimo walioajiriwa na Bodi ya Korosho Tanzania kupitia program ya BBT Korosho waliopo Mtwara – Makao Makuu ikiwa ni moja kati ya vituo...
Mkuu wa wilaya ya Mtwara Ndg. Abdallah Mwaipaya amefungua mafunzo elekezi ya kuwajengea uwezo maafisa kilimo waliopangiwa vituo vya kazi Wilaya ya Mtwara ikiwa ni...
Bodi ya Korosho Tanzania imetekeleza programu ya Jenga Kesho iliyo Bora (BBT) iliyopo Wizara ya Kilimo katika zao la korosho kwa kuwapatia mafunzo elekezi vijana...
Tasnia ya korosho nchini Tanzania imeendelea kuwa moja ya tasnia muhimu inayochangia katika uchumi wa nchi. Serikali imewekeza katika kuboresha miundombinu ya usafirishaji Pamoja na...
VIONGOZI CBT WAKUTANA NA WAGENI KUTOKA UHOLANZI KUJADILI UONGEZAJI THAMANI ZAO LA KOROSHO Kikao muhimu kimefanyika kati ya viongozi wa Bodi ya Korosho Tanzania, wageni...
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania ndg. Francis Alfred amekabidhi mashine nne za kubangulia korosho kwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mtwara Mhe. Shadida...
Wakulima wa zao la korosho kutoka Chama Kikuu Cha Ushirika TANECU katika mnada wake wa sita uliofanyika Nov 15 2024, wilayani Tandahimba mkoani Mtwara wameuza...
Mhe.David Silinde (Mb), Naibu Waziri wa Kilimo akiambatana na Dkt. Hussein Omary, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa...
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo (Ushirika na Umwagiliaji), Dkt. Suleiman Serera ameongoza kikao cha pamoja kati ya Wizara na Washiriki wa Maendeleo tarehe...