Mkurugenzi mkuu wa bodi ya korosho Tanzania ndg Fransis Alfred amesema kuwa bodi ya korosho kwa kushirikiana na vyama vya ushirika na wadau wengine katika...
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndg. Francis Alfred ametoa ufafanuzi juu ya malipo ya wakulima wa Korosho nchini katika kuelekea msimu huu wa...
Waziri wa kilimo Mhe. Hussein Bashe amesema kuwa serikali itaendelea kutoa ruzuku za pembejeo kwa wakulima wa korosho nchini buree. Bashe ameyasema hayo alipokuwa akizungumza...
Serikali ya jamhuri ya Muunganio wa Tanzania inayoongozwa na Dkt Samia Suluhu Hassan imejipanga kumuinua kiuchumi mkulima wa korosho nchini. Hayo yamesemwa na Naibu katibu...
Bodi ya Korosho Tanzania (Bodi) ni taasisi ya Umma iliyopewa jukumu la kudhibitina kusimamia tasnia ya korosho nchini kuanzia uzalishaji, uongezaji wa thamanipamoja na masoko....
Bodi ya Wakurugenzi katika kikao chake cha robo ya tatu ya mwaka 2023/2024 ili kupitia na kujadili taarifa ya utekelezaji iliyowasilishwa na Menejimenti imetoa maelekezo...