Author : Amani Ngoleligwe
BASHE: BENKI YA USHIRIKA TANZANIA (COOP BANK TANZANIA) KUANZA NA MTAJI WA BILLIONI 55
Benki ya Ushirika Tanzania itaanza na Mtaji wa Shilingi Billioni 55 ikiwa ni Benki ya kwanza nchini inayomilikiwa kwa asilimia 51 na vyama vya ushirika...
RAIS DKT. SAMIA KUZINDUA BENKI YA USHIRIKA NCHINI
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Benki ya Ushirika (Coop Bank Tanzania), lengo likiwa ni kufufua benki za kijamii zilizofilisika nchini. Akizungumza na Waandishi...
MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KUENDELEA KULETA TIJA NA MANUFAA KWA WAKULIMA
Imeelezwa kuwa mfumo wa stakabadhi ghalani, unaotumiwa na wakulima wa zao la korosho, mbaazi na ufuta nchini ni wenye tija na unalenga kumnufaisha mkulima na...
UHUISHAJI TAARIFA ZA WAKULIMA WA KOROSHO WAENDELEA KWA MAFANIKIO KATIKA KATA YA NYANGAO MKOANI LINDI
Tanzania ni mojawapo ya nchi zinazoongoza kwa uzalishaji wa zao la korosho duniani, ikishika nafasi ya pili katika bara la Afrika na nafasi ya sita...
BODI YA WAKURUGENZI WA BODI YA KOROSHO TANZANIA YAKUTANA NA MENEJIMENTI KATIKA KIKAO CHAKE CHA KWANZA
Bodi ya wakurugenzi wa Bodi ya Korosho Tanzania iliyoteuliwa hivi karibuni ikiongozwa na Mwenyekiti Brig. Gen. (Mstaafu) Aloyce D. Mwanjile ndc imefanya kikao chake cha...
RC LINDI AZINDUA UGAWAJI PIKIPIKI NA VISHIKWAMBI KWA MAAFISA KILIMO WA BBT-KOROSHO
Mkuu wa mkoa wa Lindi Mhe. Zainabu Telack amezindua ugawaji wa vitendea kazi ambavyo ni pikipiki 152 na vishikwambi 152 kwa maafisa kilimo walioajiriwa na...
UHUISHAJI TAARIFA ZA WAKULIMA WA KOROSHO WAENDELEA KWA UFANISI MKUBWA MSIMU WA 2024/2025
Zoezi la uhuishaji wa taarifa za wakulima wa zao la korosho linaendelea kwa mafanikio makubwa katika ofisi za vijiji yalipo mashamba ya wakulima likiwa chini...