Novemba 9, 2025 07:35
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKitelezi

MIKAKATI YA UONGEZAJI THAMANI NA UZALISHAJI WA ZAO LA KOROSHO TANZANIA

Kikao cha wadau wa zao la korosho kilichohusisha wataalamu wa kilimo (RAAs,DAICOs),warajisi na Taasisi mbalimbali na  Mameneja wa Vya vikuu vya ushirika kutoka Mikoa Mitano(Lindi,Mtwara,Ruvuma,Tanga na Pwani) vinara kwenye uzalishaji korosho,lengo ni kujadili namna ya kuongeza thamani na uzalishaji kutoka tani laki tatu kwa sasa mpaka kufikia tani laki saba ifikapo mwaka 2025.

Related posts

MAONESHO YA NANENANE 2022-MBEYA

Fesam

TICC EVENT PUBLIC ANOUNCEMENT

Peter Luambano

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA AMEZINDUA UGAWAJI PIKIPIKI NA VISHIKWAMBI KWA MAAFISA KILIMO WA BBT-KOROSHO

Amani Ngoleligwe