Julai 14, 2025 04:47
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

DKT. KIRUSWA ATEMBELEA BANDA LA MAONESHO CBT NA KUPONGEZA JUHUDI ZA RAIS DKT. SAMIA

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali wakulima wa korosho ikiwa ni pamoja na kuwapatia pembejeo za ruzuku na kuwa na utashi wa kisiasa katika kuendeleza Sekta ya Kilimo nchini.

Pia Dkt. Kiruswa ameipongeza Bodi ya Korosho Tanzania kwa kazi nzuri wanazozifanya ikiwa ni pamoja na kuwasimamia wakulima wa zao la korosho wa Kanda ya kusini na mikoa mingine nchini.

Ameyasema hayo leo juni 13, 2024 alipotembelea banda la Bodi ya Korosho wakati wa Maonesho ya Madini na Uwekezaji wilayani Ruangwa mkoani Lindi. Maonesho hayo yameanza rasmi tarehe 11 na yanatarajiwa kufikia tamati tarehe 14 juni 2025.

Related posts

BODI YA WAKURUGENZI CBT YAITAKA MENEJIMENTI KUSIMAMIA VEMA TASNIA YA KOROSHO

Amani Ngoleligwe

Mh DUNSTAN KYOBA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA BODI YA KOROSHO.

Peter Luambano

HALI YA SOKO LA KOROSHO GHAFI KWA MWAKA 2022/2023

Peter Luambano