Aprili 19, 2025 11:35
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA BODI YA KOROSHO TANZANIA

Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi la Bodi ya Korosho Ndg.Francis Alfred ambae pia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania akiongoza kikao cha mwisho wa mwaka cha baraza la wafanyakazi leo tarehe 16 Desemba, 2022 katika ukumbi wa mikutano wa Bodi ya korosho Mtwara.

Baraza hilo linalojumuisha wajumbe mbalimbali wakiwemo wakuu wa Idara na Vitengo,Mameneja wa matawi na wajumbe wa kuchaguliwa,lengo la kikao hiki ni kufanya tathmini ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za uendelezaji wa Tasnia ikiwa ni Pamoja na masuala mbalimbali yanayohusu ustawi wa wafanyakazi.

Related posts

TANZANIA YAPATA SOKO JIPYA LA KOROSHO BARANI ULAYA

Peter Luambano

TANGAZO KWA WADAU WOTE WA TASNIA YA KOROSHO NCHINI. NOV 11-2024

Amani Ngoleligwe

TICC CONFERENCE ANNOUNCEMENT AND CALL FOR PRESENTATIONS

Peter Luambano