May 28, 2023 03:19
Bodi Ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriMatukioSlider

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA BODI YA KOROSHO TANZANIA

Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi la Bodi ya Korosho Ndg.Francis Alfred ambae pia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania akiongoza kikao cha mwisho wa mwaka cha baraza la wafanyakazi leo tarehe 16 Desemba, 2022 katika ukumbi wa mikutano wa Bodi ya korosho Mtwara.

Baraza hilo linalojumuisha wajumbe mbalimbali wakiwemo wakuu wa Idara na Vitengo,Mameneja wa matawi na wajumbe wa kuchaguliwa,lengo la kikao hiki ni kufanya tathmini ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za uendelezaji wa Tasnia ikiwa ni Pamoja na masuala mbalimbali yanayohusu ustawi wa wafanyakazi.

Related posts

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndg. Francis Alfred Pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI)-Naliendele Dkt Fortunus Kapinga wamepokea ujumbe wa wageni kutoka Nchini Benin leo tarehe 3 Octoba 2022.

Peter Luambano

MAPOKEZI YA VIWATILIFU MKOANI MTWARA

Fesam

TAARIFA YA UTAFITI KUHUSU HALI YA UZALISHAJI WA KOROSHO NCHINI KWA MSIMU WA 2022/2023

Peter Luambano