Category : Kitelezi
MKULIMA WA KOROSHO KULIPWA SIKU 7 BAADA YA MNADA
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndg. Francis Alfred ametoa ufafanuzi juu ya malipo ya wakulima wa Korosho nchini katika kuelekea msimu huu wa...
SERIKALI KUENDELEA KUTOA RUZUKU ZA PEMBEJEO BUREE KWA WAKULIMA WA KOROSHO
Waziri wa kilimo Mhe. Hussein Bashe amesema kuwa serikali itaendelea kutoa ruzuku za pembejeo kwa wakulima wa korosho nchini buree. Bashe ameyasema hayo alipokuwa akizungumza...
SERIKALI YAJIPANGA KUMUINUA KIUCHUMI MKULIMA WA KOROSHO
Serikali ya jamhuri ya Muunganio wa Tanzania inayoongozwa na Dkt Samia Suluhu Hassan imejipanga kumuinua kiuchumi mkulima wa korosho nchini. Hayo yamesemwa na Naibu katibu...
MKUTANO MKUU WA WADAU WA TASNIA YA KOROSHO 2024
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amefungua Mkutano Mkuu wa Wadau wa Tasnia ya Korosho 2024 leo tarehe 22 Agosti 2024 na kuwatia moyo...
FURSA ZA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA
Bodi ya Korosho Tanzania (Bodi) ni taasisi ya Umma iliyopewa jukumu la kudhibitina kusimamia tasnia ya korosho nchini kuanzia uzalishaji, uongezaji wa thamanipamoja na masoko....
Kikao cha 12 cha Bodi ya Wakurugenzi
Bodi ya Wakurugenzi katika kikao chake cha robo ya tatu ya mwaka 2023/2024 ili kupitia na kujadili taarifa ya utekelezaji iliyowasilishwa na Menejimenti imetoa maelekezo...
KIKAO CHA TATHMINI YA UZALISHAJI, MASOKO NA UBANGUAJI WA KOROSHO MSIMU WA 2023/2024
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) ameongoza Mkutano wa Tathmini ya Uzalishaji, Ubanguaji na Masoko ya zao la Korosho kwa msimu wa Mwaka 2023/2024...