Machi 11, 2026 01:43
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

WAKULIMA TANECU WAUZA KOROSHO ZAO KATIKA MNADA WA SITA

Wakulima wa zao la korosho kutoka Chama Kikuu Cha Ushirika TANECU katika mnada wake wa sita uliofanyika Nov 15 2024, wilayani Tandahimba mkoani Mtwara wameuza korosho zao kwa Bei ya juu ya Tsh.3240/= na ya chini ikiwa Tsh.3010=

Jumla ya Tani 17233,875 za korosho ghafi kati 18966,934 zimeuzwa, na zilizobaki ni Tani 1733 ambazo zitauzwa katika mnada wa sita wa Chama Kikuu Cha Ushirika Lindi Mwambao hapo Nov 16-2024.

Mnada huo umefanyika kupitia mfumo wa soko la bidhaa Tanzania (TMX) ukihudhuriwa na maafisa kutoka Bodi ya Korosho Tanzania, viongozi wa TANECU, na wakulima wa korosho kutoka wilaya za Newala na Tandahimba.

Related posts

KUTOKA URAMBO-TABORA:Mzee Ibrahim Kadete kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Mkoa wa Tabora mkulima wa korosho tangu mwaka 2017 akiwa katika shamba lake.

Peter Luambano

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Bw. Francis Alfred, akizungumza na Wakulima wakati wa ufunguzi wa mnada wa kwanza wa ununuzi wa Korosho Msimu 2023/2024 katika Kijiji cha Mburusa Wilaya ya Nanyumbu Mkoani Mtwara Octoba 20,2023

Peter Luambano

MKUU WA MKOA WA MTWARA KANALI AHMED ABBAS AHMED AZINDUA RASMI KOROSHO MARATHON MSIMU WA PILI 2023

Peter Luambano