Januari 13, 2025 11:50
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

BODI YA KOROSHO KUTOA MAFUNZO KWA WAKULIMA WA KOROSHO WILAYA YA BIHARAMULO-KAGERA

Mafunzo hayo yanalenga kuelekeza matumizi sahihi na salama ya viuatilifu wilayani Biharamulo sambamba na kuwapatia pembejeo za kudhibiti magonjwa na wadudu waharibifu kwenye zao la korosho. Mafunzo hayo yamepangwa kutolewa kuanzia tarehe 25 hadi tarehe 28 Oktoba 2022 kufuatia kubainika kuwepo kwa wakulima wa korosho wilayani humo ambapo Bodi ya korosho inatarajia pia kuwajengea uwezo wa kubangua korosho wakati bado wanaendelea kuongeza uzalishaji wa zao ilo.

Related posts

TAARIFA YA UTAFITI KUHUSU HALI YA UZALISHAJI WA KOROSHO NCHINI KWA MSIMU WA 2022/2023

Peter Luambano

MKUU WA MKOA WA MTWARA AZINDUA MINADA YA KOROSHO KWA MSIMU WA 2022/2023 LEO TAREHE 21 OKTOBA KWA VYAMA VIKUU VIWILI TANECU NA MAMCU MKOANI MTWARA.

Peter Luambano

UUZAJI KOROSHO KUPITIA TMX WAZIDI KULETA MATOKEO CHANYA

Amani Ngoleligwe