Januari 13, 2025 10:47
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari Zinazojiri

KIKAO CHA NNE CHA BODI YA WAKURUGENZI BODI YA KOROSHO

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Korosho Tanzania Brig. General Mstaafu ALOYCE MWANJILE(NDC) akiongoza kikao cha nne cha Bodi ya Wakurugenzi kilichofanyika tarehe 22 Juni,2022 katika ukumbi wa mikutano wa Bodi ya korosho mjini Mtwara ambacho pia Mh.Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Ndugu Dunstan Kyobya alipita kusalimia na kutoa pongezi kwa Bodi ya Wakurugenzi na Menejimenti kwa uwajibikaji wao katika kukuza na kuendeleza tasnia ya korosho Tanzania.

Related posts

BODI YA KOROSHO YAPOKEA TANI 3,680 YA SULPHUR KUPITIA BANDARI YA MTWARA

Peter Luambano

MKUTANO MKUU WA WADAU WA TASNIA YA KOROSHO 2024

Peter Luambano

TANECU WAUZA KOROSHO KWA BEI YA JUU TSH. 3760/= NA BEI YA CHINI TSH.3540/=, UBORA WASISITIZWA.

Amani Ngoleligwe