Julai 19, 2025 02:41
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari Zinazojiri

KIKAO CHA NNE CHA BODI YA WAKURUGENZI BODI YA KOROSHO

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Korosho Tanzania Brig. General Mstaafu ALOYCE MWANJILE(NDC) akiongoza kikao cha nne cha Bodi ya Wakurugenzi kilichofanyika tarehe 22 Juni,2022 katika ukumbi wa mikutano wa Bodi ya korosho mjini Mtwara ambacho pia Mh.Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Ndugu Dunstan Kyobya alipita kusalimia na kutoa pongezi kwa Bodi ya Wakurugenzi na Menejimenti kwa uwajibikaji wao katika kukuza na kuendeleza tasnia ya korosho Tanzania.

Related posts

TAARIFA KWA WADAU WOTE WA TASNIA YA KOROSHO NCHINI/ NOTICE TO ALL STAKEHOLDERS IN THE CASHEWNUT INDUSTRY

Peter Luambano

BODI YA KOROSHO YATOA MASHINE ZA UBANGUAJI KOROSHO

Amani Ngoleligwe

SHILINGI BILIONI 743.57 /= ZAPATIKANA MAUZO YA KOROSHO MSIMU WA 2024/2025

Amani Ngoleligwe