Machi 11, 2026 12:45
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari Zinazojiri

KIKAO CHA NNE CHA BODI YA WAKURUGENZI BODI YA KOROSHO

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Korosho Tanzania Brig. General Mstaafu ALOYCE MWANJILE(NDC) akiongoza kikao cha nne cha Bodi ya Wakurugenzi kilichofanyika tarehe 22 Juni,2022 katika ukumbi wa mikutano wa Bodi ya korosho mjini Mtwara ambacho pia Mh.Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Ndugu Dunstan Kyobya alipita kusalimia na kutoa pongezi kwa Bodi ya Wakurugenzi na Menejimenti kwa uwajibikaji wao katika kukuza na kuendeleza tasnia ya korosho Tanzania.

Related posts

WAKULIMA MNOLELA: TANGU TUANZE KUPOKEA PEMBEJEO ZA RUZUKU MAMBO YANAKWENDA VIZURI SANA

Amani Ngoleligwe

JARIDA LA KOROSHO MWEZI AGOSTI 2023

Peter Luambano

WAKULIMA TANECU WAUZA KOROSHO ZAO KATIKA MNADA WA SITA

Amani Ngoleligwe