Januari 3, 2026 10:01
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari Zinazojiri

KIKAO CHA NNE CHA BODI YA WAKURUGENZI BODI YA KOROSHO

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Korosho Tanzania Brig. General Mstaafu ALOYCE MWANJILE(NDC) akiongoza kikao cha nne cha Bodi ya Wakurugenzi kilichofanyika tarehe 22 Juni,2022 katika ukumbi wa mikutano wa Bodi ya korosho mjini Mtwara ambacho pia Mh.Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Ndugu Dunstan Kyobya alipita kusalimia na kutoa pongezi kwa Bodi ya Wakurugenzi na Menejimenti kwa uwajibikaji wao katika kukuza na kuendeleza tasnia ya korosho Tanzania.

Related posts

BODI YA KOROSHO YATOA JEZI ZA MICHEZO KWA JESHI LA ZIMAMOTO TANZANIA

Peter Luambano

KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUGENZI ROBO YA TATU YA MWAKA

Peter Luambano

MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KUENDELEA KULETA TIJA NA MANUFAA KWA WAKULIMA

Amani Ngoleligwe