Machi 11, 2026 12:33
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

CIAP KUTOKA BURUNDI WAKIWA ZIARANI NCHINI TANZANIA

Chama cha Ushirika CIAP kutoka nchini Burundi kimefanya ziara ya mafunzo katika ofisi za Bodi ya Korosho Tanzania Makao Makuu zilizopo Mtwara Mjini tarehe 04/11/2024. Mafunzo hayo yameongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndg. Francis Alfred akiwa ameambatana na Kaimu Meneja wa Ubanguaji wa Korosho Ndg. Mangile Malegesi na Kaimu Meneja wa Mipango ya Kilimo Ndg. Juma Yusuph.

Related posts

DKT. SERERA AONGOZA KIKAO NOVEMBA 13-2024

Amani Ngoleligwe

WAZIRI BASHE AMSHUKURU RAIS DKT. SAMIA KURUHUSU EXPORT LEVY ITUMIKE KWA WAKULIMA

Amani Ngoleligwe

BODI YA KOROSHO NA MWENDELEZO WA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA WA KOROSHO NCHINI

Peter Luambano