Aprili 19, 2025 11:29
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

CIAP KUTOKA BURUNDI WAKIWA ZIARANI NCHINI TANZANIA

Chama cha Ushirika CIAP kutoka nchini Burundi kimefanya ziara ya mafunzo katika ofisi za Bodi ya Korosho Tanzania Makao Makuu zilizopo Mtwara Mjini tarehe 04/11/2024. Mafunzo hayo yameongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndg. Francis Alfred akiwa ameambatana na Kaimu Meneja wa Ubanguaji wa Korosho Ndg. Mangile Malegesi na Kaimu Meneja wa Mipango ya Kilimo Ndg. Juma Yusuph.

Related posts

MKUU WA MKOA WA MTWARA AFUNGA MAFUNZO YA UDHIBTI UBORA

Peter Luambano

SERIKALI KUENDELEA KUTOA RUZUKU ZA PEMBEJEO BUREE KWA WAKULIMA WA KOROSHO

Amani Ngoleligwe

Wajumbe wakiwa kwenye Mkutano wa kimataifa wa korosho uliofanyika Tanzania katika ukumbi wa Mikutano ya kimataifa wa Julius Nyerere

Peter Luambano