Novemba 28, 2023 07:46
Bodi ya Korosho Tanzania
KiteleziMatukio

BODI YA KOROSHO TANZANIA YASHIRIKI WIKI YA UWEKEZAJI NA BIASHARA MKOANI PWANI

Bodi ya korosho yashiriki  Wiki ya Uwekezaji  na Biashara Mkoani Pwani iliyoanza  kufanyika octoba 5 na kufikia kilele leo Octoba 10, 2022 katika Viwanja vya Stendi ya zamani Mailimoja Kibaha Mjini ,ikiwa ni maonyesho ya tatu tangu kuanzishwa kwa maonyesho hayo mwaka 2018.
Katika maonyesho hayo washiriki 520 walikadiriwa kushiriki moja kwa moja na watu takribani 15,000 kujionea bidhaa zinazozalishwa kupitia viwanda na fursa zinazopatikana Mkoani humo.
“Maonyesha haya yameratibiwa na TANTRADE kwa kushirikiana na Shirika linalohudumia viwanda vidogo vidogo( SIDO )Kanda ya Mashariki”,Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mh. Abubakari Kunenge akizungumza na waandishi wa habari walioshiriki kufanikisha maonyesho hayo.

Related posts

MAFUNZO YA UHUISHAJI NA USAJILI WA WAKULIMA WA KOROSHO

Peter Luambano

Wajumbe wakiwa kwenye Mkutano wa kimataifa wa korosho uliofanyika Tanzania katika ukumbi wa Mikutano ya kimataifa wa Julius Nyerere

Peter Luambano

MKUU WA MKOA WA MTWARA KANALI AHMED ABBAS AHMED AZINDUA RASMI KOROSHO MARATHON MSIMU WA PILI 2023

Peter Luambano