Julai 16, 2026 06:05
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

BODI YA KOROSHO TANZANIA YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI WA KILIMO MHESHIMIWA HUSSEIN BASHE (MB)

Bodi ya Korosho Tanzania yatekeleza agizo la Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Hussein Bashe (MB) kwa kutoa vitabu vya kusajili wakulima wa korosho Jimbo la Mtama Mkoa wa Lindi.  Maafisa wa Bodi wametoa mafunzo kwa Maafisa Ugani wa Kata za Halmashauri ya Wilaya ya Mtama namna ya kujaza taarifa za wakulima ikiwa na lengo na mwendelezo wa maboresho ya taarifa za awali zilizopo kwenye mfumo wa kidigitali wa usajili wa wakulima(FRS).
Vitabu hivi vimetolewa kwa lengo la kupata taarifa za uhakiki wa usajili uliofanyika awali wa  taarifa za wakulima wa korosho kwani taarifa zao ziko kwenye  mfumo wa FRS uliotolewa na Wizara ya Kilimo.

Related posts

SERIKALI KUENDELEA KUTOA RUZUKU ZA PEMBEJEO BUREE KWA WAKULIMA WA KOROSHO

Amani Ngoleligwe

BODI YA KOROSHO KUTOA MAFUNZO KWA WAKULIMA WA KOROSHO WILAYA YA BIHARAMULO-KAGERA

Peter Luambano

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA RUFIJI LATEMBELEA BODI YA KOROSHO MTWARA.

Peter Luambano