Author : Peter Luambano
HALI YA SOKO LA KOROSHO GHAFI KWA MWAKA 2022/2023
Mnamo tarehe 21 Oktoba 2022 minada ya korosho ilianza rasmi; ambapo minada ilifanyika katika vyama vikuu vya TANECU na MAMCU katika eneo la Mitondi B...
BODI YA KOROSHO KUTOA MAFUNZO KWA WAKULIMA WA KOROSHO WILAYA YA BIHARAMULO-KAGERA
Mafunzo hayo yanalenga kuelekeza matumizi sahihi na salama ya viuatilifu wilayani Biharamulo sambamba na kuwapatia pembejeo za kudhibiti magonjwa na wadudu waharibifu kwenye zao la...
MKUU WA MKOA WA MTWARA AZINDUA MINADA YA KOROSHO KWA MSIMU WA 2022/2023 LEO TAREHE 21 OKTOBA KWA VYAMA VIKUU VIWILI TANECU NA MAMCU MKOANI MTWARA.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Ahmed Abbas Ahmed alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa minada ya korosho kwa msimu wa 2022/2023. Akihutubia katika halfa hiyo,...
KIKAO CHA SITA CHA BODI YA WAKURUGENZI WA BODI YA KOROSHO TANZANIA
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Brig. Gen. (Mstaafu) Aloyce Damian Mwanjile ndc ameongoza kikao cha Bodi ya Wakurugenzi tarehe 19 Oktoba 2022 katika ukumbi wa...