Aprili 26, 2024 11:19
Bodi ya Korosho Tanzania
Matukio

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndg. Francis Alfred Pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI)-Naliendele Dkt Fortunus Kapinga wamepokea ujumbe wa wageni kutoka Nchini Benin leo tarehe 3 Octoba 2022.

Ujumbe huo  umeongozwa na Prof.Peter Massawe ambae pia ni Mjumbe ya Wakurugenzi wa Bodi ya Korosho Tanzania kwa lengo la kujifunza jinsi ya uendelezaji wa zao la korosho nchini na kubadirishana mbinu na uzoefu katika tasnia hii.

Benin ni miongoni mwa nchi zinazo zalisha korosho kwa wingi Barani Afrika kwa kusaidiwa na wataalam na wabobezi wa zao la korosho toka Nchini Tanzania.

MAKAO MAKUU YA BODI-MTWARA

Related posts

BODI YA KOROSHO YAZINDUA RASMI MKUTANO WA KIMATAIFA WA KOROSHO 11-13 OCTOBA 2023 JNICC-DAR ES SALAAM

Peter Luambano

Bodi Ya Korosho Bandarini Mtwara Na Ugeni Toka Zambia

Fesam

BODI YA KOROSHO YAPOKEA TANI 3,680 YA SULPHUR KUPITIA BANDARI YA MTWARA

Peter Luambano