Januari 14, 2025 12:13
Bodi ya Korosho Tanzania
Matukio

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndg. Francis Alfred Pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI)-Naliendele Dkt Fortunus Kapinga wamepokea ujumbe wa wageni kutoka Nchini Benin leo tarehe 3 Octoba 2022.

Ujumbe huo  umeongozwa na Prof.Peter Massawe ambae pia ni Mjumbe ya Wakurugenzi wa Bodi ya Korosho Tanzania kwa lengo la kujifunza jinsi ya uendelezaji wa zao la korosho nchini na kubadirishana mbinu na uzoefu katika tasnia hii.

Benin ni miongoni mwa nchi zinazo zalisha korosho kwa wingi Barani Afrika kwa kusaidiwa na wataalam na wabobezi wa zao la korosho toka Nchini Tanzania.

MAKAO MAKUU YA BODI-MTWARA

Related posts

Kikao cha ufunguzi wa zoezi la ukaguzi wa hesabu za taasisi Kwa mwaka 2021/2022

Peter Luambano

SERIKALI YAJIPANGA KUMUINUA KIUCHUMI MKULIMA WA KOROSHO

Amani Ngoleligwe

MATUMINZI YA SERIKALI MTANDAO KATIKA UTUNZAJI NYARAKA

Peter Luambano