Febuari 12, 2026 04:11
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

ELIMU YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA UKIMWI KWA WAFANYAKZI WA BODI YA KOROSHO

Elimu ya kujikinga na kupambana na virusi vya ukimwi (HIV) kazini yakitolewa na Dr Mbelenje katika ukumbi wa Bandari Mtwara tarehe 15 desemba, 2022 kutoka Wizara ya Afya kwa watumishi wa Bodi ya korosho Nchini,Bodi ya korosho imekua na utaratibu wa kualika wataalam mbalimbali katika sekta tofauti kwa lengo la kuwajengea uwezo na uelewa watumishi wake

Katika utamaduni huo,Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya korosho Tanzania imejiwekea utaratibu wa kufanya mafunzo na Elimu juu ya masuala mbalimbali ikiwemo Afya kila mwaka kwa watumishi wake,lengo kuu ni kuwajengea uwezo na uelewa ili wawe na Afya njema ambayo itawafanya wawezi kufanya kazi kwa ustadi na maarifa katika kukuza uchumi wao na Nchi kwa ujumla.

Related posts

CATALOGUE 2 CORECU

Peter Luambano

MKUTANO MKUU WA WADAU WA TASNIA YA KOROSHO 2024

Peter Luambano

TANGAZO LA MKUTANO WA 19 WA ACA 2025

Amani Ngoleligwe