May 28, 2023 05:07
Bodi Ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriMatukioSlider

BODI YA KOROSHO YAPEWA ELIMU YA RUSHWA

Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Mtwara Ndugu. Enock Ngailo akitoa Elimu ya masuala ya rushwa kwa watumishi wa Bodi ya korosho Tanzania,mafunzo hayo yalijikita katika kuelimisha na kutambua viashiria vya rushwa na madhara yake katika eneo la kazi na sehemu zingine.

Katika mafunzo hayo,Kamanda Enock ametoa rai kwa wafanyakazi wa Bodi ya korosho kujiepusha na vitendo vya rushwa kwani jambo hili hudhoofisha utendaji na ufanisi katika kazi lakini pia kuzorotesha ustawi wa uchumi wa Taifa letu.

Related posts

BODI YA KOROSHO YATOA JEZI ZA MICHEZO KWA JESHI LA ZIMAMOTO TANZANIA

Peter Luambano

BODI YA KOROSHO TANZANIA YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI WA KILIMO MHESHIMIWA HUSSEIN BASHE (MB)

Peter Luambano

MAFUNZO YA UHUISHAJI NA USAJILI WA WAKULIMA WA KOROSHO

Peter Luambano