Mei 7, 2026 05:14
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

BODI YA KOROSHO YAPEWA ELIMU YA RUSHWA

Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Mtwara Ndugu. Enock Ngailo akitoa Elimu ya masuala ya rushwa kwa watumishi wa Bodi ya korosho Tanzania,mafunzo hayo yalijikita katika kuelimisha na kutambua viashiria vya rushwa na madhara yake katika eneo la kazi na sehemu zingine.

Katika mafunzo hayo,Kamanda Enock ametoa rai kwa wafanyakazi wa Bodi ya korosho kujiepusha na vitendo vya rushwa kwani jambo hili hudhoofisha utendaji na ufanisi katika kazi lakini pia kuzorotesha ustawi wa uchumi wa Taifa letu.

Related posts

WAKULIMA WA KOROSHO KUENDELEA KUNEEMEKA NA PEMBEJEO ZA RUZUKU YA SERIKALI.

Peter Luambano

KUTOKA URAMBO-TABORA:Mzee Ibrahim Kadete kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Mkoa wa Tabora mkulima wa korosho tangu mwaka 2017 akiwa katika shamba lake.

Peter Luambano

RATIBA YA MINADA MSIMU WA 2025/2026

Amani Ngoleligwe