Novemba 20, 2025 08:22
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

CIAP KUTOKA BURUNDI WAKIWA ZIARANI NCHINI TANZANIA

Chama cha Ushirika CIAP kutoka nchini Burundi kimefanya ziara ya mafunzo katika ofisi za Bodi ya Korosho Tanzania Makao Makuu zilizopo Mtwara Mjini tarehe 04/11/2024. Mafunzo hayo yameongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndg. Francis Alfred akiwa ameambatana na Kaimu Meneja wa Ubanguaji wa Korosho Ndg. Mangile Malegesi na Kaimu Meneja wa Mipango ya Kilimo Ndg. Juma Yusuph.

Related posts

MKUTANO MKUU WA WADAU WA TASNIA YA KOROSHO WAFANYIKA JIJINI DODOMA

Amani Ngoleligwe

TASNIA YA KOROSHO YAZIDI KUCHANGIA UCHUMI NCHINI

Amani Ngoleligwe

TANGAZO KWA WADAU WOTE WA TASNIA YA KOROSHO NCHINI

Amani Ngoleligwe