Category : Kitelezi
UBALOZI WA TANZANIA-UAE, CBT WAPANGA MIKAKATI KULITUMIA SOKO LA KOROSHO NCHI ZA GHUBA KUPITIA UAE
Ubalozi wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kushirikiana na Bodi ya Korosho Tanzania wamepanga mikakati ya kulitumia ipasavyo soko la Korosho...
WIZARA YA KILIMO YAKARIBISHA WAWEKEZAJI KONGANI LA VIWANDA MARANJE-MTWARA
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Dkt. Hussein Mohamed Omari ameitaka Bodi ya KoroshoTanzania kukaribisha wawekezaji katika kongani la viwanda lililopo katika Kijiji cha...
NAIBU WAZIRI SILINDE AZINDUA MIRADI KATIKA SEKTA YA KILIMO
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) amezindua Miradi itakayosaidia kuleta zaidi mageuzi katika Sekta ya Kilimo, inayofahamika kama SAGCOT: Support to SAGGOT Centre...
MAAFISA KILIMO WA BBT KOROSHO WAENDELEA NA MAFUNZO YA VITENDO
Maafisa Ugani Kilimo walioajiriwa na Bodi ya Korosho Tanzania kupitia program ya BBT Korosho waliopo Mtwara – Makao Makuu ikiwa ni moja kati ya vituo...
DC MWAIPAYA AIPONGEZA BODI YA KOROSHO TANZANIA KWA USIMAMIZI MZURI WA ZAO LA KOROSHO
Mkuu wa wilaya ya Mtwara Ndg. Abdallah Mwaipaya amefungua mafunzo elekezi ya kuwajengea uwezo maafisa kilimo waliopangiwa vituo vya kazi Wilaya ya Mtwara ikiwa ni...
BODI YA KOROSHO TANZANIA YATEKELEZA PROGRAMU YA JENGA KESHO ILIYO BORA KATIKA ZAO LA KOROSHO
Bodi ya Korosho Tanzania imetekeleza programu ya Jenga Kesho iliyo Bora (BBT) iliyopo Wizara ya Kilimo katika zao la korosho kwa kuwapatia mafunzo elekezi vijana...

