Bodi ya wakurugenzi imeendelea na vikao vyake vya kisheria kufuatilia na kuboresha mambo mbalimbali yanayoihusu bodi ya korosho Tanzania. Vikao hivi vimeongozwa na mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi Brigedia General Mstaafu Aloyce D mwanjile.
previous post