Julai 27, 2024 07:36
Bodi ya Korosho Tanzania
Matukio

Bodi Ya Wakurugenzi Ya Bodi Ya Korosho Imefanya Vikao Vyake Toka 29.10.2021 Na 30.10.2021

Bodi ya wakurugenzi imeendelea na vikao vyake vya kisheria kufuatilia na kuboresha mambo mbalimbali yanayoihusu bodi ya korosho Tanzania. Vikao hivi vimeongozwa na mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi Brigedia General Mstaafu Aloyce D mwanjile. 

Related posts

Kikao cha ufunguzi wa zoezi la ukaguzi wa hesabu za taasisi Kwa mwaka 2021/2022

Peter Luambano

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA BODI YA KOROSHO TANZANIA

Peter Luambano

KUTOKA URAMBO-TABORA:Mzee Ibrahim Kadete kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Mkoa wa Tabora mkulima wa korosho tangu mwaka 2017 akiwa katika shamba lake.

Peter Luambano