Novemba 20, 2025 11:15
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

TANECU WAUZA KOROSHO ZOTE KILO 3,666,570 DESEMBA 2,2022

Chama kikuu cha ushirika wilaya Tandahimba na Newala (TANECU) tarehe 2 Desemba 2022, kimeuza korosho zote zilizopelekwa mnadani kwa bei ya chini ya Shilingi 1930 na Bei ya juu ya Shilingi 1990.

Korosho zilipelekwa mnadani zilikua kilo 3,666,570 zote zikiwa na ubora wa daraja la kwanza (SOT 51-52),uhitaji wa soko kwa wanunuzi ulikua  kilo 7,305,000 kati ya wanunuzi 19 waliohudhuria mnada huo na kufanya korosho zote zilizoletwa sokoni kununuliwa kwa bei kati ya Shilingi 1930 mpaka Shilingi 1990

Related posts

KABRASHA LA MKUTANO MKUU WA WADAU WA TASNIA YA KOROSHO 2025

Amani Ngoleligwe

BODI YA KOROSHO YATOA JEZI ZA MICHEZO KWA JESHI LA ZIMAMOTO TANZANIA

Peter Luambano

MAMCU WAUZA KILO 35,445,155 KWA BEI YA JUU SH. 2,510

Amani Ngoleligwe