Juni 17, 2025 09:38
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

TANECU WAUZA KOROSHO ZOTE KILO 3,666,570 DESEMBA 2,2022

Chama kikuu cha ushirika wilaya Tandahimba na Newala (TANECU) tarehe 2 Desemba 2022, kimeuza korosho zote zilizopelekwa mnadani kwa bei ya chini ya Shilingi 1930 na Bei ya juu ya Shilingi 1990.

Korosho zilipelekwa mnadani zilikua kilo 3,666,570 zote zikiwa na ubora wa daraja la kwanza (SOT 51-52),uhitaji wa soko kwa wanunuzi ulikua  kilo 7,305,000 kati ya wanunuzi 19 waliohudhuria mnada huo na kufanya korosho zote zilizoletwa sokoni kununuliwa kwa bei kati ya Shilingi 1930 mpaka Shilingi 1990

Related posts

BODI YA KOROSHO YAPOKEA TANI 3,680 YA SULPHUR KUPITIA BANDARI YA MTWARA

Peter Luambano

NAIBU WAZIRI SILINDE AZINDUA MIRADI KATIKA SEKTA YA KILIMO

Amani Ngoleligwe

UHUISHAJI TAARIFA ZA WAKULIMA WA KOROSHO WAENDELEA KWA MAFANIKIO KATIKA KATA YA NYANGAO MKOANI LINDI

Amani Ngoleligwe