Oktoba 15, 2025 11:29
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

BODI YA KOROSHO KUTOA MAFUNZO KWA WAKULIMA WA KOROSHO WILAYA YA BIHARAMULO-KAGERA

Mafunzo hayo yanalenga kuelekeza matumizi sahihi na salama ya viuatilifu wilayani Biharamulo sambamba na kuwapatia pembejeo za kudhibiti magonjwa na wadudu waharibifu kwenye zao la korosho. Mafunzo hayo yamepangwa kutolewa kuanzia tarehe 25 hadi tarehe 28 Oktoba 2022 kufuatia kubainika kuwepo kwa wakulima wa korosho wilayani humo ambapo Bodi ya korosho inatarajia pia kuwajengea uwezo wa kubangua korosho wakati bado wanaendelea kuongeza uzalishaji wa zao ilo.

Related posts

WAKULIMA WA KOROSHO WAKUMBUSHWA KUHUISHA TAARIFA ZA MASHAMBA YAO.

Amani Ngoleligwe

VIONGOZI CBT WAKUTANA NA WAGENI KUTOKA UHOLANZI KUJADILI UONGEZAJI THAMANI ZAO LA KOROSHO

Amani Ngoleligwe

TANGAZO KUHUSU USAJILI WA WAENDESHA GHALA KATIKA ZAO LA KOROSHO

Amani Ngoleligwe