Machi 3, 2026 06:09
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

BODI YA KOROSHO KUTOA MAFUNZO KWA WAKULIMA WA KOROSHO WILAYA YA BIHARAMULO-KAGERA

Mafunzo hayo yanalenga kuelekeza matumizi sahihi na salama ya viuatilifu wilayani Biharamulo sambamba na kuwapatia pembejeo za kudhibiti magonjwa na wadudu waharibifu kwenye zao la korosho. Mafunzo hayo yamepangwa kutolewa kuanzia tarehe 25 hadi tarehe 28 Oktoba 2022 kufuatia kubainika kuwepo kwa wakulima wa korosho wilayani humo ambapo Bodi ya korosho inatarajia pia kuwajengea uwezo wa kubangua korosho wakati bado wanaendelea kuongeza uzalishaji wa zao ilo.

Related posts

Wajumbe wakiwa kwenye Mkutano wa kimataifa wa korosho uliofanyika Tanzania katika ukumbi wa Mikutano ya kimataifa wa Julius Nyerere

Peter Luambano

KIKAO CHA NNE CHA BODI YA WAKURUGENZI BODI YA KOROSHO

Fesam

TANGAZO LA KAZI

Peter Luambano