Oktoba 23, 2025 11:11
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKitelezi

MIKAKATI YA UONGEZAJI THAMANI NA UZALISHAJI WA ZAO LA KOROSHO TANZANIA

Kikao cha wadau wa zao la korosho kilichohusisha wataalamu wa kilimo (RAAs,DAICOs),warajisi na Taasisi mbalimbali na  Mameneja wa Vya vikuu vya ushirika kutoka Mikoa Mitano(Lindi,Mtwara,Ruvuma,Tanga na Pwani) vinara kwenye uzalishaji korosho,lengo ni kujadili namna ya kuongeza thamani na uzalishaji kutoka tani laki tatu kwa sasa mpaka kufikia tani laki saba ifikapo mwaka 2025.

Related posts

UFAFANUZI KUHUSU KIBANDIKO KILICHOWEKWA KWENYE MIFUKO YA SULPHUR YA UNGA CHAPA BENS SULPHUR ILIYOINGIZWA NCHINI MSIMU WA 2023/2024

Amani Ngoleligwe

TARI WAJIANDAA KUPOKEA MEDALI KOROSHO MARATHON

Amani Ngoleligwe

TICC EVENT PUBLIC ANOUNCEMENT

Peter Luambano