Agosti 28, 2025 05:26
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKitelezi

MIKAKATI YA UONGEZAJI THAMANI NA UZALISHAJI WA ZAO LA KOROSHO TANZANIA

Kikao cha wadau wa zao la korosho kilichohusisha wataalamu wa kilimo (RAAs,DAICOs),warajisi na Taasisi mbalimbali na  Mameneja wa Vya vikuu vya ushirika kutoka Mikoa Mitano(Lindi,Mtwara,Ruvuma,Tanga na Pwani) vinara kwenye uzalishaji korosho,lengo ni kujadili namna ya kuongeza thamani na uzalishaji kutoka tani laki tatu kwa sasa mpaka kufikia tani laki saba ifikapo mwaka 2025.

Related posts

TANGAZO LA MKUTANO WA 19 WA ACA 2025

Amani Ngoleligwe

TANGAZO KUHUSU USAJILI WA WAENDESHA GHALA KATIKA ZAO LA KOROSHO

Amani Ngoleligwe

WAKULIMA WA KOROSHO KUENDELEA KUNEEMEKA NA PEMBEJEO ZA RUZUKU YA SERIKALI.

Peter Luambano