Septemba 18, 2025 03:16
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriMatukio

UGAWAJI WA PIKIPIKI KWA MAAFISA UGANI-LINDI

Mwenyekiti wa Bodi ya korosho Tanzania Brigedia Jenerali mstaafu Aloyce Mwanjile ameeleza sababu zilizoisukuma taasisi kutoa pikipiki 96 Kwa maafisa ugani huku akieleza lengo kuu ni kuwafikia wakulima wengi nchini ili waweze kutimiza maagizo ya ilani ya chama cha mapinduzi la kufikisha tani laki Saba (700,000) kufikia 2025/26

Related posts

WADAU WAASWA KUZINGATIA UBORA KATIKA ZAO LA KOROSHO

Peter Luambano

DKT. KIRUSWA ATEMBELEA BANDA LA MAONESHO CBT NA KUPONGEZA JUHUDI ZA RAIS DKT. SAMIA

Amani Ngoleligwe

Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango amefungua Mkutano wa Kimataifa wa Korosho wa siku tatu hapa nchini

Peter Luambano