Juni 16, 2025 10:57
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriMatukio

UGAWAJI WA PIKIPIKI KWA MAAFISA UGANI-LINDI

Mwenyekiti wa Bodi ya korosho Tanzania Brigedia Jenerali mstaafu Aloyce Mwanjile ameeleza sababu zilizoisukuma taasisi kutoa pikipiki 96 Kwa maafisa ugani huku akieleza lengo kuu ni kuwafikia wakulima wengi nchini ili waweze kutimiza maagizo ya ilani ya chama cha mapinduzi la kufikisha tani laki Saba (700,000) kufikia 2025/26

Related posts

RC LINDI AZINDUA UGAWAJI PIKIPIKI NA VISHIKWAMBI KWA MAAFISA KILIMO WA BBT-KOROSHO

Amani Ngoleligwe

MKUTANO WA KIMATAIFA WA KOROSHO TANZANIA

Peter Luambano

WAKULIMA WA KOROSHO WAKUMBUSHWA KUHUISHA TAARIFA ZA MASHAMBA YAO.

Amani Ngoleligwe