Disemba 12, 2025 02:55
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriMatukio

UGAWAJI WA PIKIPIKI KWA MAAFISA UGANI-LINDI

Mwenyekiti wa Bodi ya korosho Tanzania Brigedia Jenerali mstaafu Aloyce Mwanjile ameeleza sababu zilizoisukuma taasisi kutoa pikipiki 96 Kwa maafisa ugani huku akieleza lengo kuu ni kuwafikia wakulima wengi nchini ili waweze kutimiza maagizo ya ilani ya chama cha mapinduzi la kufikisha tani laki Saba (700,000) kufikia 2025/26

Related posts

ZIARA YA MASOMO YA WANAFUNZI WA CHUO CHA MAFUNZO YA KILIMO MTWARA-MATI

Peter Luambano

SALES CATALOGUE – AGROFOCUS NEWALA

Peter Luambano

WIZARA YA KILIMO YAKARIBISHA WAWEKEZAJI KONGANI LA VIWANDA MARANJE-MTWARA

Amani Ngoleligwe