Machi 16, 2026 03:47
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriMatukio

UGAWAJI WA PIKIPIKI KWA MAAFISA UGANI-LINDI

Mwenyekiti wa Bodi ya korosho Tanzania Brigedia Jenerali mstaafu Aloyce Mwanjile ameeleza sababu zilizoisukuma taasisi kutoa pikipiki 96 Kwa maafisa ugani huku akieleza lengo kuu ni kuwafikia wakulima wengi nchini ili waweze kutimiza maagizo ya ilani ya chama cha mapinduzi la kufikisha tani laki Saba (700,000) kufikia 2025/26

Related posts

MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA UGAWAJI WA PEMBEJEO KWA MSIMU WA 2023/2024

Peter Luambano

UFAFANUZI KUHUSU KIBANDIKO KILICHOWEKWA KWENYE MIFUKO YA SULPHUR YA UNGA CHAPA BENS SULPHUR ILIYOINGIZWA NCHINI MSIMU WA 2023/2024

Amani Ngoleligwe

KOROSHO MARATHON YAFIKA KILELENI KWA SHANGWE

Amani Ngoleligwe