Julai 10, 2025 03:47
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

MKUU WA MKOA WA MTWARA AFUNGA MAFUNZO YA UDHIBTI UBORA

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanal Ahmed Abbasi amefunga mafunzo ya siku tano ya udhibiti ubora wa korosho kwa washiriki 120 yaliyoratibiwa na Bodi ya korosho Tanzania na kufikia tamati tarehe 23 septemba, 2022 katika ukumbi wa mikutano wa chuo mafunzo ya kilimo MATI kilichopo kata ya Naliendele Manispaa ya Mtwara Mikindani.

Akizungumza katika hafla hiyo,kanal Ahmed amesema Serikali haitosita kuwachukulia hatua kali wale wote watakaojihusisha na vitendo viovu vya kuihujumu korosho kwa msimu huu unaotarajia kuanza Oktoba 14, 2022.

Aidha,ametoa wito wa kuongeza mikorosho mipya ili kuongeza tija katika uzalishaji wa korosho na kufikia malengo ya wizara ya kilimo(CBT-Mtwara HQ).

CHUO CHA KILIMO MATI-MANISPAA YA MTWARA MIKINDANI

Related posts

KABRASHA KIKAO CHA TATHMINI 2025

Amani Ngoleligwe

MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KUENDELEA KULETA TIJA NA MANUFAA KWA WAKULIMA

Amani Ngoleligwe

BODI YA KOROSHO TANZANIA YATEKELEZA PROGRAMU YA JENGA KESHO ILIYO BORA KATIKA ZAO LA KOROSHO

Amani Ngoleligwe