Januari 3, 2026 04:52
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Bw. Francis Alfred, akizungumza na Wakulima wakati wa ufunguzi wa mnada wa kwanza wa ununuzi wa Korosho Msimu 2023/2024 katika Kijiji cha Mburusa Wilaya ya Nanyumbu Mkoani Mtwara Octoba 20,2023

Kuhusu bei hiyo kuendelea kushuka ikilinganishwa na Msimu uliopita, Francis amesema CBT kama msimamizi mkuu wa Tasnia wanaendelea kushughulikia mwenendo huo ikiwa ni pamoja na kufuatilia kwa ukaribu hali halisi ya soko lilivyo kimataifa.

“Niwashukuru wakulima kwa kufikia uamuzi wa kuuza Korosho zao, kwa sababu kiuhalisia bei waliyouza ndivyo hali ya soko ilivyo katika soko la kimataifa, hali ya soko katika dunia ndiyo inatafsiri hali ya soko katika nchi yetu” amesisitiza Alfred.

Related posts

MKURUGENZI MKUU CBT: SOKO LA KOROSHO LIKO VIZURI

Amani Ngoleligwe

MELI YA KWANZA KATI YA NNE ZINAZOTARAJIA KUBEBA TANI 40,000 ZA PEMBEJEO ZA ZAO LA KOROSHO YAWASILI BANDARI YA MTWARA

Amani Ngoleligwe

WAZIRI JAFO AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KUSINI

Amani Ngoleligwe