Juni 20, 2026 07:33
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

Mh DUNSTAN KYOBA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA BODI YA KOROSHO.

Katika ziara hiyo,Mh Kyoba amefanya kikao na watumishi wote waliopo Bodi leo tarehe 30 Sept,2022.

Ameipongeza Bodi kwa utendaji mzuri kwa msimu uliopita na kutoa ushauri kuongeza ufanisi zaidi katika utendaji ili kuondoa malalamiko na kero zinazoikabili tasnia ya Korosho Nchini.

Related posts

RATIBA YA MINADA KWA MSIMU WA 2023/2024

Peter Luambano

TARATIBU ZA UNUNUZI NA USAFIRISHAJI WA KOROSHO ZILIZOBANGULIWA(KERNELS) KUTOKA KWENYE VIKUNDI VYA WABANGUAJI NA WAKULIMA NDANI YA NCHI

Peter Luambano

KIKAO CHA KAMATI YA UENDELEZAJI ZAO YA BODI YA KOROSHO TANZANIA

Peter Luambano