Juni 17, 2025 03:02
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKitelezi

MIKAKATI YA UONGEZAJI THAMANI NA UZALISHAJI WA ZAO LA KOROSHO TANZANIA

Kikao cha wadau wa zao la korosho kilichohusisha wataalamu wa kilimo (RAAs,DAICOs),warajisi na Taasisi mbalimbali na  Mameneja wa Vya vikuu vya ushirika kutoka Mikoa Mitano(Lindi,Mtwara,Ruvuma,Tanga na Pwani) vinara kwenye uzalishaji korosho,lengo ni kujadili namna ya kuongeza thamani na uzalishaji kutoka tani laki tatu kwa sasa mpaka kufikia tani laki saba ifikapo mwaka 2025.

Related posts

JARIDA LA KOROSHO MWEZI MACHI 2024

Peter Luambano

MKULIMA WA KOROSHO KULIPWA SIKU 7 BAADA YA MNADA

Amani Ngoleligwe

UBALOZI WA TANZANIA-UAE, CBT WAPANGA MIKAKATI KULITUMIA SOKO LA KOROSHO NCHI ZA GHUBA KUPITIA UAE

Amani Ngoleligwe