Novemba 22, 2025 05:05
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKitelezi

MIKAKATI YA UONGEZAJI THAMANI NA UZALISHAJI WA ZAO LA KOROSHO TANZANIA

Kikao cha wadau wa zao la korosho kilichohusisha wataalamu wa kilimo (RAAs,DAICOs),warajisi na Taasisi mbalimbali na  Mameneja wa Vya vikuu vya ushirika kutoka Mikoa Mitano(Lindi,Mtwara,Ruvuma,Tanga na Pwani) vinara kwenye uzalishaji korosho,lengo ni kujadili namna ya kuongeza thamani na uzalishaji kutoka tani laki tatu kwa sasa mpaka kufikia tani laki saba ifikapo mwaka 2025.

Related posts

ELIMU YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA UKIMWI KWA WAFANYAKZI WA BODI YA KOROSHO

Peter Luambano

RATIBA YA MINADA KWA MSIMU WA 2023/2024

Peter Luambano

TANECU WAUZA KOROSHO KWA BEI YA JUU TSH. 3760/= NA BEI YA CHINI TSH.3540/=, UBORA WASISITIZWA.

Amani Ngoleligwe