Oktoba 15, 2025 12:10
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

Mh DUNSTAN KYOBA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA BODI YA KOROSHO.

Katika ziara hiyo,Mh Kyoba amefanya kikao na watumishi wote waliopo Bodi leo tarehe 30 Sept,2022.

Ameipongeza Bodi kwa utendaji mzuri kwa msimu uliopita na kutoa ushauri kuongeza ufanisi zaidi katika utendaji ili kuondoa malalamiko na kero zinazoikabili tasnia ya Korosho Nchini.

Related posts

SERIKALI KUENDELEA KUTOA RUZUKU ZA PEMBEJEO BUREE KWA WAKULIMA WA KOROSHO

Amani Ngoleligwe

MKUU WA MKOA WA MTWARA AFUNGA MAFUNZO YA UDHIBTI UBORA

Peter Luambano

Bodi Ya Wakurugenzi Ya Bodi Ya Korosho Imefanya Vikao Vyake Toka 29.10.2021 Na 30.10.2021

Fesam