Author : Peter Luambano
WAKULIMA WA KOROSHO KUENDELEA KUNEEMEKA NA PEMBEJEO ZA RUZUKU YA SERIKALI.
Wakulima wa Korosho nchini wataendelea kunufaika na pembejeo za ruzuku ya serikali kwaajili ya kuwakwamua na kuwaendeleza kiuchumi, hayo yamesemwa tarehe 18 Aprili 2024 katika...
Bodi ya Korosho yawaonya wafanyabiashara wanaozitorosha Korosho nje ya nchi
Bodi ya Korosho Tanzania imewaonya baadhi ya wanunuzi wa zao la Korosho wanaonunua baada ya msimu kufungwa na kutaka kuzitorosha nchini kinyume cha sheria. Hadi...
BODI YA KOROSHO NA MWENDELEZO WA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA WA KOROSHO NCHINI
Maafisa wa Bodi ya korosho Tanzania wakiwa katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Tunduru mbele ya Katibu Tawala wa wilaya Ndug. Milongo Sanga kwa...
ELIMU YA MAZINGIRA NA HEWA YA UKAA KWA BODI YA WAKURUGENZI
RUZIKA N. MUHETO mtaalam wa mazingira na hewa ya ukaa akiwasilisha mada yenye kuelezea umuhimu wa zao la Korosho katika utunzaji mazingira lakini pia ni...