Oktoba 6, 2025 03:35
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

CIAP KUTOKA BURUNDI WAKIWA ZIARANI NCHINI TANZANIA

Chama cha Ushirika CIAP kutoka nchini Burundi kimefanya ziara ya mafunzo katika ofisi za Bodi ya Korosho Tanzania Makao Makuu zilizopo Mtwara Mjini tarehe 04/11/2024. Mafunzo hayo yameongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndg. Francis Alfred akiwa ameambatana na Kaimu Meneja wa Ubanguaji wa Korosho Ndg. Mangile Malegesi na Kaimu Meneja wa Mipango ya Kilimo Ndg. Juma Yusuph.

Related posts

MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KUENDELEA KULETA TIJA NA MANUFAA KWA WAKULIMA

Amani Ngoleligwe

TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA

Peter Luambano

TANGAZO LA MKUTANO WA 19 WA ACA 2025

Amani Ngoleligwe