Juni 17, 2025 03:34
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA BODI YA KOROSHO TANZANIA

Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi la Bodi ya Korosho Ndg.Francis Alfred ambae pia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania akiongoza kikao cha mwisho wa mwaka cha baraza la wafanyakazi leo tarehe 16 Desemba, 2022 katika ukumbi wa mikutano wa Bodi ya korosho Mtwara.

Baraza hilo linalojumuisha wajumbe mbalimbali wakiwemo wakuu wa Idara na Vitengo,Mameneja wa matawi na wajumbe wa kuchaguliwa,lengo la kikao hiki ni kufanya tathmini ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za uendelezaji wa Tasnia ikiwa ni Pamoja na masuala mbalimbali yanayohusu ustawi wa wafanyakazi.

Related posts

BODI YA KOROSHO TANZANIA YAENDELEA NA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA

Peter Luambano

BODI YA KOROSHO YAPOKEA TANI 3,680 YA SULPHUR KUPITIA BANDARI YA MTWARA

Peter Luambano

BODI YA KOROSHO TANZANIA YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI WA KILIMO MHESHIMIWA HUSSEIN BASHE (MB)

Peter Luambano