Agosti 21, 2025 03:03
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA BODI YA KOROSHO TANZANIA

Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi la Bodi ya Korosho Ndg.Francis Alfred ambae pia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania akiongoza kikao cha mwisho wa mwaka cha baraza la wafanyakazi leo tarehe 16 Desemba, 2022 katika ukumbi wa mikutano wa Bodi ya korosho Mtwara.

Baraza hilo linalojumuisha wajumbe mbalimbali wakiwemo wakuu wa Idara na Vitengo,Mameneja wa matawi na wajumbe wa kuchaguliwa,lengo la kikao hiki ni kufanya tathmini ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za uendelezaji wa Tasnia ikiwa ni Pamoja na masuala mbalimbali yanayohusu ustawi wa wafanyakazi.

Related posts

WAKULIMA WA KOROSHO KUENDELEA KUNEEMEKA NA PEMBEJEO ZA RUZUKU YA SERIKALI.

Peter Luambano

WAKULIMA WA KOROSHO WAKUMBUSHWA KUHUISHA TAARIFA ZA MASHAMBA YAO.

Amani Ngoleligwe

WAKULIMA WAISHUKURU SERIKALI MFUMO WA TMX

Amani Ngoleligwe