Oktoba 14, 2025 04:09
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

MKUU WA MKOA WA MTWARA AFUNGA MAFUNZO YA UDHIBTI UBORA

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanal Ahmed Abbasi amefunga mafunzo ya siku tano ya udhibiti ubora wa korosho kwa washiriki 120 yaliyoratibiwa na Bodi ya korosho Tanzania na kufikia tamati tarehe 23 septemba, 2022 katika ukumbi wa mikutano wa chuo mafunzo ya kilimo MATI kilichopo kata ya Naliendele Manispaa ya Mtwara Mikindani.

Akizungumza katika hafla hiyo,kanal Ahmed amesema Serikali haitosita kuwachukulia hatua kali wale wote watakaojihusisha na vitendo viovu vya kuihujumu korosho kwa msimu huu unaotarajia kuanza Oktoba 14, 2022.

Aidha,ametoa wito wa kuongeza mikorosho mipya ili kuongeza tija katika uzalishaji wa korosho na kufikia malengo ya wizara ya kilimo(CBT-Mtwara HQ).

CHUO CHA KILIMO MATI-MANISPAA YA MTWARA MIKINDANI

Related posts

WAZIRI JAFO AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KUSINI

Amani Ngoleligwe

KUTOKA URAMBO-TABORA:Mzee Ibrahim Kadete kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Mkoa wa Tabora mkulima wa korosho tangu mwaka 2017 akiwa katika shamba lake.

Peter Luambano

MIKOA YA KILIMO CHA KOROSHO KUONGEZEKA KUTOKA 5 HADI 18 NCHINI- Naibu Waziri Silinde

Peter Luambano