Disemba 31, 2025 12:24
Bodi ya Korosho Tanzania
Matukio

Bodi Ya Wakurugenzi Ya Bodi Ya Korosho Imefanya Vikao Vyake Toka 29.10.2021 Na 30.10.2021

Bodi ya wakurugenzi imeendelea na vikao vyake vya kisheria kufuatilia na kuboresha mambo mbalimbali yanayoihusu bodi ya korosho Tanzania. Vikao hivi vimeongozwa na mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi Brigedia General Mstaafu Aloyce D mwanjile. 

Related posts

MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KWA WAKULIMA WA KOROSHO

Peter Luambano

TANGAZO LA MKUTANO WA WADAU 2025

Amani Ngoleligwe

SERIKALI YALETA NEEMA KWA WAKULIMA WA KOROSHO

Amani Ngoleligwe