Agosti 20, 2025 10:19
Bodi ya Korosho Tanzania
Matukio

Bodi Ya Wakurugenzi Ya Bodi Ya Korosho Imefanya Vikao Vyake Toka 29.10.2021 Na 30.10.2021

Bodi ya wakurugenzi imeendelea na vikao vyake vya kisheria kufuatilia na kuboresha mambo mbalimbali yanayoihusu bodi ya korosho Tanzania. Vikao hivi vimeongozwa na mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi Brigedia General Mstaafu Aloyce D mwanjile. 

Related posts

WIZARA YA KILIMO YAKARIBISHA WAWEKEZAJI KONGANI LA VIWANDA MARANJE-MTWARA

Amani Ngoleligwe

Kikao cha 12 cha Bodi ya Wakurugenzi

Peter Luambano

KOROSHO MARATHON YAFIKA KILELENI KWA SHANGWE

Amani Ngoleligwe