Agosti 27, 2025 10:52
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

BODI YA KOROSHO YAPEWA ELIMU YA RUSHWA

Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Mtwara Ndugu. Enock Ngailo akitoa Elimu ya masuala ya rushwa kwa watumishi wa Bodi ya korosho Tanzania,mafunzo hayo yalijikita katika kuelimisha na kutambua viashiria vya rushwa na madhara yake katika eneo la kazi na sehemu zingine.

Katika mafunzo hayo,Kamanda Enock ametoa rai kwa wafanyakazi wa Bodi ya korosho kujiepusha na vitendo vya rushwa kwani jambo hili hudhoofisha utendaji na ufanisi katika kazi lakini pia kuzorotesha ustawi wa uchumi wa Taifa letu.

Related posts

UHUISHAJI TAARIFA ZA WAKULIMA WA KOROSHO WAENDELEA KWA MAFANIKIO KATIKA KATA YA NYANGAO MKOANI LINDI

Amani Ngoleligwe

Wajumbe wakiwa kwenye Mkutano wa kimataifa wa korosho uliofanyika Tanzania katika ukumbi wa Mikutano ya kimataifa wa Julius Nyerere

Peter Luambano

WAKULIMA WA KOROSHO WAKUMBUSHWA KUHUISHA TAARIFA ZA MASHAMBA YAO.

Amani Ngoleligwe