Febuari 5, 2026 02:38
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

BODI YA KOROSHO YAPEWA ELIMU YA RUSHWA

Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Mtwara Ndugu. Enock Ngailo akitoa Elimu ya masuala ya rushwa kwa watumishi wa Bodi ya korosho Tanzania,mafunzo hayo yalijikita katika kuelimisha na kutambua viashiria vya rushwa na madhara yake katika eneo la kazi na sehemu zingine.

Katika mafunzo hayo,Kamanda Enock ametoa rai kwa wafanyakazi wa Bodi ya korosho kujiepusha na vitendo vya rushwa kwani jambo hili hudhoofisha utendaji na ufanisi katika kazi lakini pia kuzorotesha ustawi wa uchumi wa Taifa letu.

Related posts

RATIBA YA MINADA MSIMU WA 2025/2026

Amani Ngoleligwe

KABRASHA KIKAO CHA TATHMINI 2025

Amani Ngoleligwe

MKULIMA WA KOROSHO KULIPWA SIKU 7 BAADA YA MNADA

Amani Ngoleligwe