Machi 23, 2026 02:00
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

AFISA KILIMO CBT AKITOA ELIMU KATIKA CHOMBO CHA HABARI LINDI

Afisa Kilimo kutoka Bodi ya Korosho Tanzania ndg. Mohamed Kaid akiwa katika moja ya kituo cha redio mkoani Lindi akitoa elimu kuhusu kanzidata, usambazaji, ugawaji na matumizi sahihi ya viuatilifu katika zao la Korosho.

Elimu hii imetolewa kuanzia tarehe 01/06/2025 hadi 08/06/2025 katika vituo mbalimbali vya redio vilivyopo katika mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma.

Related posts

CATALOGUE – TANECU NEWALA

Peter Luambano

BODI YA KOROSHO TANZANIA YATEKELEZA PROGRAMU YA JENGA KESHO ILIYO BORA KATIKA ZAO LA KOROSHO

Amani Ngoleligwe

BASHE:  BENKI YA USHIRIKA TANZANIA (COOP BANK TANZANIA) KUANZA NA MTAJI WA BILLIONI 55

Amani Ngoleligwe