Agosti 2, 2025 12:04
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

AFISA KILIMO CBT AKITOA ELIMU KATIKA CHOMBO CHA HABARI LINDI

Afisa Kilimo kutoka Bodi ya Korosho Tanzania ndg. Mohamed Kaid akiwa katika moja ya kituo cha redio mkoani Lindi akitoa elimu kuhusu kanzidata, usambazaji, ugawaji na matumizi sahihi ya viuatilifu katika zao la Korosho.

Elimu hii imetolewa kuanzia tarehe 01/06/2025 hadi 08/06/2025 katika vituo mbalimbali vya redio vilivyopo katika mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma.

Related posts

MKURUGENZI MKUU CBT: KOROSHO MARATHON HUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII, HUTOA FURSA ZA AJIRA

Amani Ngoleligwe

BOT – MTWARA YATOA ELIMU YA FEDHA BODI YA KOROSHO TANZANIA

Amani Ngoleligwe

WAKULIMA WA KOROSHO MAYANGA AMCOS WAISHUKURU SERIKALI KUWAPATIA PEMBEJEO KWA WAKATI

Amani Ngoleligwe