Novemba 4, 2025 05:13
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

AFISA KILIMO CBT AKITOA ELIMU KATIKA CHOMBO CHA HABARI LINDI

Afisa Kilimo kutoka Bodi ya Korosho Tanzania ndg. Mohamed Kaid akiwa katika moja ya kituo cha redio mkoani Lindi akitoa elimu kuhusu kanzidata, usambazaji, ugawaji na matumizi sahihi ya viuatilifu katika zao la Korosho.

Elimu hii imetolewa kuanzia tarehe 01/06/2025 hadi 08/06/2025 katika vituo mbalimbali vya redio vilivyopo katika mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma.

Related posts

KOROSHO QUEENS YAPATA UFADHILI WA VIFAA VYA MICHEZO

Peter Luambano

SILINDE ASHIRIKI COP29 NCHINI AZERBAIJAN.

Amani Ngoleligwe

BODI YA KOROSHO NA MWENDELEZO WA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA WA KOROSHO NCHINI

Peter Luambano