Mei 15, 2024 04:45
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Bw. Francis Alfred, akizungumza na Wakulima wakati wa ufunguzi wa mnada wa kwanza wa ununuzi wa Korosho Msimu 2023/2024 katika Kijiji cha Mburusa Wilaya ya Nanyumbu Mkoani Mtwara Octoba 20,2023

Kuhusu bei hiyo kuendelea kushuka ikilinganishwa na Msimu uliopita, Francis amesema CBT kama msimamizi mkuu wa Tasnia wanaendelea kushughulikia mwenendo huo ikiwa ni pamoja na kufuatilia kwa ukaribu hali halisi ya soko lilivyo kimataifa.

“Niwashukuru wakulima kwa kufikia uamuzi wa kuuza Korosho zao, kwa sababu kiuhalisia bei waliyouza ndivyo hali ya soko ilivyo katika soko la kimataifa, hali ya soko katika dunia ndiyo inatafsiri hali ya soko katika nchi yetu” amesisitiza Alfred.

Related posts

AUCTIONS TIME TABLE FOR THE SEASON 2022-2023

Peter Luambano

WAZIRI WA KILIMO MHE.HUSSEIN BASHE (MB) ASISITIZA ZOEZI LA USAJILI WA WAKULIMA WA KOROSHO NCHINI

Peter Luambano

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndg. Francis Alfred Pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI)-Naliendele Dkt Fortunus Kapinga wamepokea ujumbe wa wageni kutoka Nchini Benin leo tarehe 3 Octoba 2022.

Peter Luambano