Januari 30, 2026 04:09
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KWA WAKULIMA WA KOROSHO

Ni katika mwendelezo wa matumizi ya teknolojia katika Sekta ya Kilimo,Bodi ya Korosho Tanzania imeendelea na utoaji mafunzo kwa viongozi wa AMCOS zote chini ya Vyama Vikuu vya RUNALI,TANECU,MAMCU na TAMCU ili kwenda sambamba na mabadiliko yanayokusidiwa,mafunzo haya ni matokeo ya usajili wa wakulima unaoendelea Nchini nzima kwa Mikoa inayolima Korosho.

Serikali imeweka msisitizo katika matumizi ya teknolojia ili kupata taarifa za wakulima kwa wepesi na haraka, hivyo miongoni mwa mikakati ya kufanikisha dhumuni hili ni matumizi ya Teknolojia inayolenga kuwa na Kanzi data ya wakulima wote Nchini.

Hivyo vyama vya ushirika kwa sasa vinapaswa kuendana na mabadiliko ili kuhudumia wanachama wao kupitia teknolojia,hili litarahisisha utendaji kazi na kuongeza ufanisi pia kupunguza migogoro isiyo na tija.

Related posts

WAZIRI JAFO AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KUSINI

Amani Ngoleligwe

SEKTA YA KILIMO KUZIDI KUIMARIKA

Amani Ngoleligwe

DKT. KIRUSWA ATEMBELEA BANDA LA MAONESHO CBT NA KUPONGEZA JUHUDI ZA RAIS DKT. SAMIA

Amani Ngoleligwe