Machi 5, 2026 01:05
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

Mh DUNSTAN KYOBA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA BODI YA KOROSHO.

Katika ziara hiyo,Mh Kyoba amefanya kikao na watumishi wote waliopo Bodi leo tarehe 30 Sept,2022.

Ameipongeza Bodi kwa utendaji mzuri kwa msimu uliopita na kutoa ushauri kuongeza ufanisi zaidi katika utendaji ili kuondoa malalamiko na kero zinazoikabili tasnia ya Korosho Nchini.

Related posts

SALES CATALOGUE -TANECU TANDAHIMBA

Peter Luambano

JARIDA LA KOROSHO MWEZI AGOSTI 2023

Peter Luambano

TIMU YA WAKAGUZI YAKAMILISHA KAZI CBT

Amani Ngoleligwe