Disemba 15, 2025 02:29
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

Mh DUNSTAN KYOBA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA BODI YA KOROSHO.

Katika ziara hiyo,Mh Kyoba amefanya kikao na watumishi wote waliopo Bodi leo tarehe 30 Sept,2022.

Ameipongeza Bodi kwa utendaji mzuri kwa msimu uliopita na kutoa ushauri kuongeza ufanisi zaidi katika utendaji ili kuondoa malalamiko na kero zinazoikabili tasnia ya Korosho Nchini.

Related posts

UHUISHAJI TAARIFA ZA WAKULIMA WA KOROSHO WAENDELEA KWA MAFANIKIO KATIKA KATA YA NYANGAO MKOANI LINDI

Amani Ngoleligwe

SERIKALI YAJIPANGA KUMUINUA KIUCHUMI MKULIMA WA KOROSHO

Amani Ngoleligwe

KUSITISHWA KWA KONGAMANO NA MAONESHO YA 19 YA MWAKA YA AFRICAN CASHEW ALLIANCE (ACA)

Amani Ngoleligwe