Mei 1, 2026 07:22
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

Mh DUNSTAN KYOBA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA BODI YA KOROSHO.

Katika ziara hiyo,Mh Kyoba amefanya kikao na watumishi wote waliopo Bodi leo tarehe 30 Sept,2022.

Ameipongeza Bodi kwa utendaji mzuri kwa msimu uliopita na kutoa ushauri kuongeza ufanisi zaidi katika utendaji ili kuondoa malalamiko na kero zinazoikabili tasnia ya Korosho Nchini.

Related posts

Kikao cha ufunguzi wa zoezi la ukaguzi wa hesabu za taasisi Kwa mwaka 2021/2022

Peter Luambano

Wajumbe wakiwa kwenye Mkutano wa kimataifa wa korosho uliofanyika Tanzania katika ukumbi wa Mikutano ya kimataifa wa Julius Nyerere

Peter Luambano

DKT SERERA AZINDUA MRADI WA GROWING TOGETHER

Amani Ngoleligwe