Category : Kitelezi
UUZAJI KOROSHO KUPITIA TMX WAZIDI KULETA MATOKEO CHANYA
Uuzaji wa zao la korosho kupitia mfumo wa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), mfumo ambao husimamia mnada kijiditali kwa lengo la kuwaongezea uhakika wa masoko,...
WAKULIMA WAISHUKURU SERIKALI MFUMO WA TMX
Baadhi ya wakulima wa zao la Korosho wilayani Newala mkoani Mtwara wameishukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa...
DKT SERERA AZINDUA MRADI WA GROWING TOGETHER
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo (Ushirika na Umwagiliaji) Dkt. Suleiman Serera, amezindua Mradi wa Growing Together unaofadhiliwa na Serikali ya Kifalme ya Norway kupitia...
KATIBU MKUU MWELI AKUTANA NA IFAD, AFDP
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) na wataalamu...
KATIBU MKUU MWELI AKUTANA NA BALOZI WA ITALIA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Italia hapa nchini, Mhe. Giuseppe Sean Coppola jijini Dodoma tarehe...
SHILINGI BILIONI 743.57 /= ZAPATIKANA MAUZO YA KOROSHO MSIMU WA 2024/2025
Wakati minada ya korosho katika msimu wa 2024/2025 ikiendelea, Mkurugezi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndg. Francis Alfred alipokuwa akizungumza na wandishi wa habari...
CIAP KUTOKA BURUNDI WAKIWA ZIARANI NCHINI TANZANIA
Chama cha Ushirika CIAP kutoka nchini Burundi kimefanya ziara ya mafunzo katika ofisi za Bodi ya Korosho Tanzania Makao Makuu zilizopo Mtwara Mjini tarehe 04/11/2024....
SEKTA YA KILIMO KUZIDI KUIMARIKA
Dk. Hussein M. Omar, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo ameshiriki katika kikao kazi kati ya Tanzania na Ujumbe wa wafanyabiashara kutoka Bavaria, nchini Ujerumani....
RAIS DKT SAMIA ASHIRIKI MIKUTANO MUHIMU KUHUSU KILIMO-MAREKANI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki katika mijadala muhimu ya kimataifa kuhusu kilimo barani Afrika ambayo ni Africa...